pakapori
JF-Expert Member
- Sep 13, 2015
- 536
- 632
Habari za saizi wana jf,nashukuru mungu anaendelea kunisimamia katika maisha yangu.
Naombeni ushauri, nilikua na msichana niliempenda sana lakini ilifika kipindi akanicheat offcoz niliumia sana tuligombana kufikia kuachana ila mbaya zaid bado tunaishi nyumba moja ya kupanga ila kila mtu na chumba chake.
Inaniumiza ninaposikia sauti yake ninapomuona kila wakati moyo wangu unasononeka sana. Sijui hata nifanyaje na jinsi maisha yalivyo magumu nimetafuta sehem nyingine ya kuishi ila nimekosa. Kwa sasa nimeamua kushinda kwa washkaji cku nzima narudi ucku geto ilimradi tu nipunguze ile hali ya kumsikia na kumuona kila wakati
Naombeni ushauri, nilikua na msichana niliempenda sana lakini ilifika kipindi akanicheat offcoz niliumia sana tuligombana kufikia kuachana ila mbaya zaid bado tunaishi nyumba moja ya kupanga ila kila mtu na chumba chake.
Inaniumiza ninaposikia sauti yake ninapomuona kila wakati moyo wangu unasononeka sana. Sijui hata nifanyaje na jinsi maisha yalivyo magumu nimetafuta sehem nyingine ya kuishi ila nimekosa. Kwa sasa nimeamua kushinda kwa washkaji cku nzima narudi ucku geto ilimradi tu nipunguze ile hali ya kumsikia na kumuona kila wakati

