alinikimbia na pesa zangu,amerudi tena!

alinikimbia na pesa zangu,amerudi tena!

Kozo Okamoto

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2013
Posts
3,391
Reaction score
1,546
mshikaj nilifahamiana nae mkoa,nilikuwa nikifanya kazi huko.kuna siku alikuja kunikopa laki tatu coz mambo yake yalimuendea kombo.nilimdai kwa muda wa miaka miwili hatimae aliniahidi nikachukue.siku nilipoenda kwake kuchukua hela nikakuta alishahama ana wiki moja.huo ndo ukawa mwanza na mwisho wa simu yake kupatikana.nilipata tetesi kaja dar.baada ya miaka 4 baadae na nikahamishiwa dar.ni jana nimekutana na mzee mwenzangu tegeta.anadai hali yake ni mbaya na kama nina kiasi cha laki 5 nimkopeshe abustie biashara yake coz kwa sasa haifanyi vizuri.

nilibaki namshangaa coz laki 3 alikimbia nazo but nahisi huruma cjui nimkopeshe tena?
 
Kama unamsaidia msaidie tu, ila kurudisha sahau.Ila iko siku atajifunza kitu.Tena wala usikumbushie za nyuma
 
mshikaj nilifahamiana nae mkoa,nilikuwa nikifanya kazi huko.kuna siku alikuja kunikopa laki tatu coz mambo yake yalimuendea kombo.nilimdai kwa muda wa miaka miwili hatimae aliniahidi nikachukue.siku nilipoenda kwake kuchukua hela nikakuta alishahama ana wiki moja.huo ndo ukawa mwanza na mwisho wa simu yake kupatikana.nilipata tetesi kaja dar.baada ya miaka 4 baadae na nikahamishiwa dar.ni jana nimekutana na mzee mwenzangu tegeta.anadai hali yake ni mbaya na kama nina kiasi cha laki 5 nimkopeshe abustie biashara yake coz kwa sasa haifanyi vizuri.

nilibaki namshangaa coz laki 3 alikimbia nazo but nahisi huruma cjui nimkopeshe tena?

Mpe kama unazo lakini usimkopeshe
 
Kama unamsaidia msaidie tu, ila kurudisha sahau.Ila iko siku atajifunza kitu.Tena wala usikumbushie za nyuma

dah mkuu nikikumbuka alivyonisepa tena kwa kunidanganya.tumewasiliana kwa simu fresh akaniambia niende home kwake nikachukue changu afu nakuta kumbe keshahama na simu kazima.afu tena leo nitupe kilo tano kiaina?
 
dah mkuu nikikumbuka alivyonisepa tena kwa kunidanganya.tumewasiliana kwa simu fresh akaniambia niende home kwake nikachukue changu afu nakuta kumbe keshahama na simu kazima.afu tena leo nitupe kilo tano kiaina?

mpe kiroho safi c mshikaji wako?
 
mshikaj nilifahamiana nae mkoa,nilikuwa nikifanya kazi huko.kuna siku alikuja kunikopa laki tatu coz mambo yake yalimuendea kombo.nilimdai kwa muda wa miaka miwili hatimae aliniahidi nikachukue.siku nilipoenda kwake kuchukua hela nikakuta alishahama ana wiki moja.huo ndo ukawa mwanza na mwisho wa simu yake kupatikana.nilipata tetesi kaja dar.baada ya miaka 4 baadae na nikahamishiwa dar.ni jana nimekutana na mzee mwenzangu tegeta.anadai hali yake ni mbaya na kama nina kiasi cha laki 5 nimkopeshe abustie biashara yake coz kwa sasa haifanyi vizuri.

nilibaki namshangaa coz laki 3 alikimbia nazo but nahisi huruma cjui nimkopeshe tena?
mnyime tu maana ushamzalilisha vya kutosha huyu jamaa khaaa
 
Huu unafiki unachangia kurudisha nyuma maendeleo...... Kama unataka kumpa basi mpe,,,, Kama hutaki mwambie straight sikupi kwa sababu ulinizingua mwanzoni,,,,
 
Mwambie akurudishie kwanza zile laki 3 halaf ndo umpe hizo laki 5 azitakazo.
 
Kimbia fasta toka nduki kaka tapeli hilo lishakuona we mbuluraaaa.
 
Back
Top Bottom