Aliniacha ila anajirudi nifanyaje?

Aliniacha ila anajirudi nifanyaje?

...nikaona kila mtu achukue chake sasa Leo anatuma" SMS I miss you" tena facebook atakuwa ana nini huyu?

Kama uliona kuwa kila mtu achukue chake...

Sasa hilo la kuandikiwa "i miss you" mbona limekuzuzua hata kuanzisha thread?

Si ulishapiga moyo konde wewe na ukaendelea na hamsini zako...
 
Kama uliona kuwa kila mtu achukue chake...

Sasa hilo la kuandikiwa "i miss you" mbona limekuzuzua hata kuanzisha thread?

Si ulishapiga moyo konde wewe na ukaendelea na hamsini zako...

mh!mh!itakuwa ni type take wewe mbona umwfluuuu thana
 
Huyu anaonekana zuzu...

Sidhani hata kama kaelewa ujumbe uliomuwekea...

Nimechoka ghafla mimi, yaani mtu anakuja kutafuta sapoti hata kwenye jambo ambalo anaju yeye ni zobaa, angekuwa mdogo wangu, hakika ningekuwa nishampa vibao vya kumzindua


eheeeeee!!!

Haya zobaa, amemaanisha amekumiss sana nenda akakuchune tena, maana huko alikoenda mwanaume ni bahili sanaaaa ivo anamiss sana wallet yako..
 
Nilikua na girlfriend wangu tukiwa tunamipango ya ndoa enzi hizo sina kazi,nikapata kazi mbali na nyumbani nae still akiwa anasoma, tulipanga anitembelee huku nilipo baada ya field kuisha.

Lakini time ikafika mara ohooooo mama amekataza, kumbe anamshikaji wingine nikaona kweli fimbo ya mbali haiui nyoka nikaona kila mtu achukue chake sasa Leo anatuma" sms I miss you" tena facebook atakuwa ana nini huyu?

Hivi nyie watu "I miss you" mmeanza kuzisikia ukubwani au? "I miss you" means "I miss you" nothing more nothing less!! sasa kwa kuwa we ulipigwa chini na demu na miaka yote hii unamuwaza, basi I miss you inakutia kiwewe unaona anafufua mambo?..taratiibu naanza kuelewa kwa nini humu JF watu walidai wapenzi wakiachana hawawezi kuwa marafiki..maana ukiambiwa neno dogo tu..roho inakulipuka.unataka ufufue ya zamani...as for me once mapenzi yakiisha a woman becomes "an old, old candle flame that flickered out"

wacha makombo yaitwe makombo.
 
Duh!kama ndo hvyo basi mie ma x wangu wote nadhani wananipenda,mana kila baada ya masaa matatu lazma nipokee text kutoka kwa ex kuwa nimemisiwa.ila nachukulia simple sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom