Aliniacha ila anajirudi nifanyaje?

Aliniacha ila anajirudi nifanyaje?

Comfucious pedagogy

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2014
Posts
211
Reaction score
39
Nilikua na girlfriend wangu tukiwa tunamipango ya ndoa enzi hizo sina kazi,nikapata kazi mbali na nyumbani nae still akiwa anasoma, tulipanga anitembelee huku nilipo baada ya field kuisha.

Lakini time ikafika mara ohooooo mama amekataza, kumbe anamshikaji wingine nikaona kweli fimbo ya mbali haiui nyoka nikaona kila mtu achukue chake sasa Leo anatuma" sms I miss you" tena facebook atakuwa ana nini huyu?
 
Kawaida sana, mtu yeyote anaweza tuma ivo. But kwa case yako, acha kujikomba mbona wanawake wamejaa tu
 
Anataka kurejesha majeshi ila anaanzia mbali
 
0015.jpg
 
Haaaaaaaa haaaaaaah yangu macho tuuu...!? Bussy day but hembu waza kama ukimuomba game akatae utasema anakushobokea but akikubali utasema anakupenda sana eeeehh..!old is gold
 
Ndio walivyo hao ww kama umempata mwingine mwenye mapenz ya kwel huyo achana nae
 
Ukimrudia Utakuwa Boyaaaaa Siku Hz Mwanamke Akizingua Unatafta Mwingine
 
Ameona hakukuumiza kisawasawa ameamua kurudi akuchizishe kabisa..mpokee tuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom