Signora D
Member
- Aug 2, 2012
- 19
- 5
kama binti niliejitoa katika himaya ya mapenzi baada ya kuumizwa vibaya na first love kisha kuoa imeaditely baada ya breaking up with me, niliapa kuwa sitopenda tena!! nilibainisha msimamo wangu kwa muda wa miaka miwili kukaa bila mtu, ingawa nilikumbana na vikwazo vingi, vishawishi na tamaa but nilimuomba Mungu na niliweza kuikimu nafsi na moyo wangu kwa mda huo!!
kwa bahati nilimaliza chuo vyema na nikabahatika kupata nafasi ya masomo ya juu nje ya nchi!! wakati nashughulikia swala langu hilo nilikutana na kijana mmoja, mpole na mkarimu sana na kwa kuwa yeye alikuwa mzoefu wa safari hizo aliweza kunijuza mengi na kunisaidia hatua kwa hatua hadi safari yangu ilipokamilika, nikiwa airport kuagana na baba na mama na mdogo wangu, aliweza kunisaidia each step mpaka kuniaga nikiwa on board( he had access on the flight) wakati namuaga i felt so emotional na nilijua i felt kitu cha tofauti kwa mda ule! nikiwa nje tulianza mawasiliano ya ukaribu zaidi! skype,online chats, zote zilituwezesha kutufanya kama tuko pamoja mda wote!! kiukweli nilimpenda sana na ilinibidi nivunje msimamo wangu nakuanzisha the distance love!!!
Nisiwachoshe wana jf nina miezi miwili tangu nimerudi toka safari yangu ya masomo, kwa bahati nikapata kazi karibu na ofisi ya huyu kaka,,CHAKUSHANGAZA ni kwamba huyu kijana HATAKI MAWASILIANO NA MIMI SINCE NIMERUDI NIKIULIZA KWANINI ANASEMA YEYE ANA MTU WAKE AND THAT WAS ONLY A DISTANCE LOVE!!! NOW THAT AM HERE HE NO LONGER NEED ME PHYSICAL!! NILISTAAJABIKA KWA SABABU NASHINDWA KUJUA ALIMAANISHA NINI KUANZISHA UHUSINANO ULE?:disapointed:
kwa bahati nilimaliza chuo vyema na nikabahatika kupata nafasi ya masomo ya juu nje ya nchi!! wakati nashughulikia swala langu hilo nilikutana na kijana mmoja, mpole na mkarimu sana na kwa kuwa yeye alikuwa mzoefu wa safari hizo aliweza kunijuza mengi na kunisaidia hatua kwa hatua hadi safari yangu ilipokamilika, nikiwa airport kuagana na baba na mama na mdogo wangu, aliweza kunisaidia each step mpaka kuniaga nikiwa on board( he had access on the flight) wakati namuaga i felt so emotional na nilijua i felt kitu cha tofauti kwa mda ule! nikiwa nje tulianza mawasiliano ya ukaribu zaidi! skype,online chats, zote zilituwezesha kutufanya kama tuko pamoja mda wote!! kiukweli nilimpenda sana na ilinibidi nivunje msimamo wangu nakuanzisha the distance love!!!
Nisiwachoshe wana jf nina miezi miwili tangu nimerudi toka safari yangu ya masomo, kwa bahati nikapata kazi karibu na ofisi ya huyu kaka,,CHAKUSHANGAZA ni kwamba huyu kijana HATAKI MAWASILIANO NA MIMI SINCE NIMERUDI NIKIULIZA KWANINI ANASEMA YEYE ANA MTU WAKE AND THAT WAS ONLY A DISTANCE LOVE!!! NOW THAT AM HERE HE NO LONGER NEED ME PHYSICAL!! NILISTAAJABIKA KWA SABABU NASHINDWA KUJUA ALIMAANISHA NINI KUANZISHA UHUSINANO ULE?:disapointed: