Alimaanisha Nini?

Una bahati sana, kuna shoga angu alipata ujauzito wa skype na jamaa likakimbia.
Siku ingine kumbuka kutumia kinga hata VVU vinapita

Kiukweli huyo mtu anakuheshimu sana, alikuwa anaflirt tu
Hakuwa na la maana zaidi ya chit chat za mapenzi.
Je angegonga mzigo, si ungepagawa???
 
Labda hakuwa na mapenzi ya kweli, may be t was just a crush!!Ndo mapito ya mapenzi,mimi nlikua naskiaga story ila yalivonikuta nkajua kumbe kuumizwa is a must???sizani kama kuna mtu ambaye hajawahi kuumizwa kwenye maswala ya mapenzi.So uanhitaji mda tu utapata wako wa ukweli

Mh!, what was he done to u my dear?
 
hivi inakuwaje lakini? kweli mimi kukusaidia au kukuelekeza tayari inakuwa vile? hapana hajakosea kwani saa zingine wanaume tunaheshimu hisia za kina dada....nakumbuka hivi juzi tukiwa training dada moja tena alikuwa bikra kamng'ang'ania mshikaji, wakati anjua mshikaji ana mchumba wake akidhania atambadili, basi mshikaji katii hisia za huyo dada kamtoa na akaachana naye..chezea chatu weye
 
Hakumaanisha chochote, sema wewe ulitaka kuwa na maana! Just thinking
 
hivi Kongosho na Asprin kwenu wk end huanza lini? manake kwa kauli zenu aelekea viroba vishapanda kama si castle milk stout lol!
 
Last edited by a moderator:
kama binti niliejitoa katika himaya ya mapenzi baada ya kuumizwa vibaya na first love kisha kuoa imeaditely baada ya breaking up with me, niliapa kuwa sitopenda tena!! nilibainisha msimamo wangu kwa muda wa miaka miwili kukaa bila mtu, ingawa nilikumbana na vikwazo vingi, vishawishi na tamaa but nilimuomba Mungu na niliweza kuikimu nafsi na moyo wangu kwa mda huo!!

kwa bahati nilimaliza chuo vyema na nikabahatika kupata nafasi ya masomo ya juu nje ya nchi!! wakati nashughulikia swala langu hilo nilikutana na kijana mmoja, mpole na mkarimu sana na kwa kuwa yeye alikuwa mzoefu wa safari hizo aliweza kunijuza mengi na kunisaidia hatua kwa hatua hadi safari yangu ilipokamilika, nikiwa airport kuagana na baba na mama na mdogo wangu, aliweza kunisaidia each step mpaka kuniaga nikiwa on board( he had access on the flight) wakati namuaga i felt so emotional na nilijua i felt kitu cha tofauti kwa mda ule! nikiwa nje tulianza mawasiliano ya ukaribu zaidi! skype,online chats, zote zilituwezesha kutufanya kama tuko pamoja mda wote!! kiukweli nilimpenda sana na ilinibidi nivunje msimamo wangu nakuanzisha the distance love!!!

Nisiwachoshe wana jf nina miezi miwili tangu nimerudi toka safari yangu ya masomo, kwa bahati nikapata kazi karibu na ofisi ya huyu kaka,,CHAKUSHANGAZA ni kwamba huyu kijana HATAKI MAWASILIANO NA MIMI SINCE NIMERUDI NIKIULIZA KWANINI ANASEMA YEYE ANA MTU WAKE AND THAT WAS ONLY A DISTANCE LOVE!!! NOW THAT AM HERE HE NO LONGER NEED ME PHYSICAL!! NILISTAAJABIKA KWA SABABU NASHINDWA KUJUA ALIMAANISHA NINI KUANZISHA UHUSINANO ULE?:disapointed:
Usimwone mbaya, yeye alikugundua kuwa ulikuwa na tatizo la kisaiklojia na ili uweze kufanikisha masomo yako ulitakiwa kupewa tiba hiyo aliyokupatia lakin hakuwa na mpango wa mapenzi wala hakuwa na tamaa na wewe. Vinginevyo angeli kupapatikia uliporudi ili umpatie uroda kisha akumwage!.
Yakupasa umshukuru kwa kukuwezesha ukamaliza masomo yako kwa furaha. Labda kama kuna jingine ulilotuficha, vinginevyo He is a good guy and you must be proud to meet him, then go his way don't blame!, look for your man!.
Na mimi nampongeza kwani lengo lake amelifanikisha bila kukujeruhi.
 
Una bahati sana, kuna shoga angu alipata ujauzito wa skype na jamaa likakimbia.
Siku ingine kumbuka kutumia kinga hata VVU vinapita

Kiukweli huyo mtu anakuheshimu sana, alikuwa anaflirt tu
Hakuwa na la maana zaidi ya chit chat za mapenzi.
Je angegonga mzigo, si ungepagawa???
ha haaaaaaaaa, Kongosho sasa hapo kwenye RED umetuingiza chaka, fafanua tafadhali
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom