Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
Una bahati sana, kuna shoga angu alipata ujauzito wa skype na jamaa likakimbia.
Siku ingine kumbuka kutumia kinga hata VVU vinapita
Kiukweli huyo mtu anakuheshimu sana, alikuwa anaflirt tu
Hakuwa na la maana zaidi ya chit chat za mapenzi.
Je angegonga mzigo, si ungepagawa???
Siku ingine kumbuka kutumia kinga hata VVU vinapita
Kiukweli huyo mtu anakuheshimu sana, alikuwa anaflirt tu
Hakuwa na la maana zaidi ya chit chat za mapenzi.
Je angegonga mzigo, si ungepagawa???