Alikuwa binadamu kweli?

Alikuwa binadamu kweli?

Hakua Binadamu, na Una bahati, na uache kumfikilia..,.... Ili hiyo Bahati kidogo uliyonayo isije kupotea, ukajuta kuzaliwa....... Mm ni Muhanga, kila ulichosema was the same Kwangu, but Mm nilijua baada ya kuwa nimeumia tayari.
Unamaanisha nn kusema uliumia?!! Ulitapeliwa au ni nn?
 
Miaka kadhaa nyuma karne hii hii ya 21, katika chuo fulani vijana walikuwa wanasoma na majini au jini bila wao kuwatambua, isipokuwa siku moja jini mmoja alifabya tukio la ajabu ambalo liliwashangaza wanafunzi wanzake. Wale wanafunzi wakaenda kushtaki kwa mwalimu. Sababu mwalimu ni msomi mkubwa, akajua nini kimetokea na alipokuwa anasomesha akawapa nasaha wale majini, ya kuwa wakiwa wanakuja kusoma basi wasome kisha waende zao, wasiwafanyie vituko ndugu zao binadamu kwani so jambo zuri. Hakika walisikia na mfano wa mambo yale hayakutokea tena.

Kadhia za majini ziko nyingi sana, sababu sisi hatuwaoni wao wanatuona.
Huyo jini alifanya kituko gani kwa hao wanafunzi na hatua gani zilichukuliwa
 
Kijana hapa utanyoosha maneno, ina maana nilichokiandika hakipo au unajitoa ufahamu ?

Hakuna mambo ya dini hapo, hapo nimeandika ukweli mtupu. Nataka utuambie kipi kimekupelekea kusema ya kuwa majini yanafugwa ?
kiwepo kisiwepo mimi sijui na sitaki kujua..usinilazimishe nijue unachojua au niamini unachoamini.
Mimi sijasema waislam wanafuga majini lakini wewe ndo wa kwanza kuileta hiyo concept halafu unataka tubishane au labda nikuulize kuna uhusiano gani kati ya uislam na majinni? maana mimi nimeongelea majinni wewe umedakia na waislam.
 
Usikimbie swali kijana utakuwa una matatizo ya akili. Huko juu ulisema ulishuhudia kwa macho hapa unasema mambo ya kiroho hayathibitishiki. Usitufanye mazwazwa kama ulivyo wewe.

Pili, hoja yangu huwezi kuikwepa na mpaka uijibu kipi kilikufanya ukiri ya kuwa majini yana fugwa.

Tatu, vingapi vya kiroho lakini tuna ushahidi navyo, majonzi ni jambo la kihisia au la kimaad ?

Nne, leo hii hakuna mtu aliye muona Mtume Muhammad, ila tunaamino yupo kwa sababu na shahidi zipo, sasa usikimbie jukumu la kuthibitisha unayo yaamini.

Tano, nafanya hivi ili ujifunze na uache ukameme wa kuandika ujinga usio weza kuuthibitisha.
Nani kakimbia swali?unataka nikukibu unavotaka?unajua maana ya kukimbia?Narudia jibu langu la swali ambalo silikimbii kuwa Sina ushahidi na hamna anayeweza kuweka ushahidi fullstop..kama unabisha weka wewe ushahidi majini yapo utakuwa umeshashinda huu mjadala...ila kwasababu nawewe huwezi utaendelea kubwabwaja kuomba kitu nlichokuambia sina ili usitoe kitu ambacho umeclaim unacho.(in real sense huna)
Nikikuambia jana msituni niliona kunguru wa njano ntaweka ushahidi gani watu waamini?


Pili acha fallacy za kitoto uwepo wa A hauprove uwepo wa B...Sasa uwepo wa majonzi hauthibitishi Majinni yapo... mimi nasema majonzi sio jambo la kiimani ni jambo la kibaolojia maana hiyo ni responce to stimuli inaanzia kwenye ubongo..Kuna neurotransmitters na hormones zinaleta emotions kama majonzi,furaha etc.Sasa hivi vinapimika..hata brain activity wakati wa majonzi/furaha nk. inapimika ila Haimaanishi majini wanapimika

Tatu,Mambo ya mtume muhamad yanini tena...yani unalazimisha sana tuingie kwenye dini...haya tunaweza kuprove Nyerere alikuwepo kupitia historical sources tofauti tofauti za wakati wake(Au atleast within miaka 100) zikitaja alikuwepo mtu anaitwa Nyerere na sifa zake.Sasa sijui kama unaweza kufanya hivyo kwa Muhammad.
 
Huyo jini alifanya kituko gani kwa hao wanafunzi na hatua gani zilichukuliwa
Kuna kitu alikichukua katika hali isiyo kuwa ya kawaida.

Hatua zlizo chukuliwa ni wenzake katika binadamu wakaenda kushitaki kwa Mwalimu, kisha katika kipindi darasani Mwalimu akatoa nasaha kwa majini. Kadhia ikawa imeisha.
 
kiwepo kisiwepo mimi sijui na sitaki kujua..usinilazimishe nijue unachojua au niamini unachoamini.
Mimi sijasema waislam wanafuga majini lakini wewe ndo wa kwanza kuileta hiyo concept halafu unataka tubishane au labda nikuulize kuna uhusiano gani kati ya uislam na majinni? maana mimi nimeongelea majinni wewe umedakia na waislam.
Unapoteza muda huna la kujibu.

Nakukanya tena usiwe unaandika usiyo yajua.
 
Back
Top Bottom