Henge
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 6,933
- 1,510
NAJUA NI DR. BUT KAFANYA NINI KWA TAIFA NA UDOKTA WAKE AU KUTOA MEMO tUUU!Ni Doctor tena wa rare professionalism.
NAJUA NI DR. BUT KAFANYA NINI KWA TAIFA NA UDOKTA WAKE AU KUTOA MEMO tUUU!Ni Doctor tena wa rare professionalism.
katika uchaguzi mkuu wa Tanzania 2010 kulikuwa na kioja kimoja ambako mgombea mwenza wa Dr Slaa ambaye alikuwa na elimu ya darasa la saba hii ni ajabu sana kwa chama chenye kujivunia wasomi lukuki! huyu bwana yuko wapi asa hivi mbona hasikiki? na mbona kwenye shughuli mbalimbali za chama haoenekani?? unajua laiti Slaa ,yule mgombea mwenza wake angeshida angeingia kwenye kumbukumbu za dunia" a standard seven leaver being the vice president" kama sikosekei mtu mwingine mwenye elimu ya msingi ambaye aliweza kushika nafasi za juu za nchi katika ukanda wetu huu ni Idd Amin
NAJUA NI DR. BUT KAFANYA NINI KWA TAIFA NA UDOKTA WAKE AU KUTOA MEMO tUUU!
..kwa uelewa wangu Chadema walikuwa wanamtaka Juma Duni au Hamad Rashid kwa nafasi ya mgombea mwenza.
..huyo waliyemsimamisha alichukuliwa dakika za majeruhi baada ya juhudi za kuwashawishi hao wawili kushindikana.
..siwezi kuwalaumu sana Chadema ktk hili, ni vigumu kupata Mzanzibar atakayesimama against CCM au CUF.
..pia kabla ya uchaguzi Chadema kilionekana kama chama kidogo kisichokuwa na future yoyote ile ktk siasa za Tanzania.
NB:
..Chadema wasirudie makosa waliyoyafanya 2010 kwa nafasi ya makamu wa raisi wa muungano.
Una uhakika kama amechaguliwa na Waislamu?Tungekuwa tunazingatia ELIMU kiongozi mkuu wa waislamu Mufti Shaaban BIN Simba ambaye ni darasa la saba asingechaguliwa na waislamu kuwa mufti wao.
Kumbe vyama vya upinzani vina demokrasia ya hali ya juu. Mgombea CDM, mwenza CUF! Je kwa CCM inawezekana?Muheshimiwa huyu hapa mimi wasiwasi wangu hillo shati la CUFView attachment 26083
Una uhakika kama amechaguliwa na Waislamu?
Kwahiyo amechaguliwa na maaskofu sio?
mkuu .... ninaweza kukubaliana na wewe .... mbona huku mtaani kwangu sikutani na huu upuuzi wa udini
Muheshimiwa huyu hapa mimi wasiwasi wangu hillo shati la CUFView attachment 26083
Alichaguliwa na serikali iliyowekwa madarakani na Kanisa.
Kama tunapenda maendeleo ya demokrasia katika nchi yetu basi ni vizuri tupongeze pale ambapo chama cha siasa kinafanya vizuri na pale wanapokosea tunawakosoe. Nilisikitika sana, ingawa sikuwa na la kufanya. Education is civilazation, vipi tuongozwe na uncivilized person. Sijui chadema walifikiria nini, mpaka wakafikia hapo. Ni bora kama hakuna mtu basi nafasi iwe wazi, kama vile Egypy ya Mubarak au wangetangaza, vijana tungejitokeza. Tungependa tuwe na chama kimoja kikuu cha upinzani, kama vile marekani. Lakini kwa kuwa na VP wa elimu dunia hatuwezi kufika. Mimi nina mfano hai, mbunge wangu ni STD 7 ingawa sikushiriki kumchagua, wananchi wameanza kujutia. Chadema wasije rudia kosa kama hilo. Hatupendi kuweka historia za kijinja" Hati VC P la saba"
Hapanshaka wameshamtumilia sasa wamemwacha tena juani...lol