Aliko mgombea mwenza wa Dr Slaa 2010

katika uchaguzi mkuu wa Tanzania 2010 kulikuwa na kioja kimoja ambako mgombea mwenza wa Dr Slaa ambaye alikuwa na elimu ya darasa la saba hii ni ajabu sana kwa chama chenye kujivunia wasomi lukuki! huyu bwana yuko wapi asa hivi mbona hasikiki? na mbona kwenye shughuli mbalimbali za chama haoenekani?? unajua laiti Slaa ,yule mgombea mwenza wake angeshida angeingia kwenye kumbukumbu za dunia" a standard seven leaver being the vice president" kama sikosekei mtu mwingine mwenye elimu ya msingi ambaye aliweza kushika nafasi za juu za nchi katika ukanda wetu huu ni Idd Amin
naona wachangiaji mmetoka kwenye mada,the main issue here huyu jamaa yuko wapi?? mbona haoenekani katika shughuli mbalimbali za chama?? au ndio ametumika tuu kutimiza malengo ya watu fulani? kimsingi shughuli anazofanya Mbowe au Slaa zingefanywa na huyu bwana kuweza na yeye kufahamika,sioni mantiki ya slaa kutembea nchi nzima kuhimiza maandamano na kumuacha huyu bwana
 
yahe, yupo pale michenzani anauza zake gengeni. Shame on you chadedemas mlitaka kutuletea mtu wa std7.
Ila wachangiaji wengi hapo juu na wapa big up kwa kuwa wakweli.
na yule wa ccm anayetoatoa meno tuuu hata anayoongea hayaeleweki! Sijui wazanzibar walimpendea nini!
 
naona wachangiaji mmetoka kwenye mada,the main issue here huyu jamaa yuko wapi?? mbona haoenekani katika shughuli mbalimbali za chama?? au ndio ametumika tuu kutimiza malengo ya watu fulani? kimsingi shughuli anazofanya Mbowe au Slaa zingefanywa na huyu bwana kuweza na yeye kufahamika,sioni mantiki ya slaa kutembea nchi nzima kuhimiza maandamano na kumuacha huyu bwana
UNATAKA TUCHANGIE ULICHOKIITA KIOJA! ACHA UPUUUZI WAKO BWANA! umekuja kijinga tunakujibu kijinga pia!
 
na yule wa ccm anayetoatoa meno tuuu hata anayoongea hayaeleweki! Sijui wazanzibar walimpendea nini!
wewe ni mbumbumbu kweli. hujui kama yule ni Dk tena wa nyuklia,na mkufunzi pale udom, siyo ya yule jamaa ambaye ana dk ya divinity, ebu km kweli ni dk akafundishe udom tuone.
 
wewe ni mbumbumbu kweli. hujui kama yule ni Dk tena wa nyuklia,na mkufunzi pale udom, siyo ya yule jamaa ambaye ana dk ya divinity, ebu km kweli ni dk akafundishe udom tuone.
mkuu ujue si kila msomi anafaa kuwa kiongozi tena wenye elimu kubwa sana hawafai ndo maana jamaa anatoa meno tuuu! sasa hizo nyuklia mbona hatuzioni nchini au ni elimu kitabu tuu kichwani hakuna kitu!
 
katika uchaguzi mkuu wa Tanzania 2010 kulikuwa na kioja kimoja ambako mgombea mwenza wa Dr Slaa ambaye alikuwa na elimu ya darasa la saba hii ni ajabu sana kwa chama chenye kujivunia wasomi lukuki! huyu bwana yuko wapi asa hivi mbona hasikiki? na mbona kwenye shughuli mbalimbali za chama haoenekani?? unajua laiti Slaa ,yule mgombea mwenza wake angeshida angeingia kwenye kumbukumbu za dunia" a standard seven leaver being the vice president" kama sikosekei mtu mwingine mwenye elimu ya msingi ambaye aliweza kushika nafasi za juu za nchi katika ukanda wetu huu ni Idd Amin

Abedi Amani Karume na alikiuwa Kiongozi wa shoka kuliko wenye udokta. Darasa lake la Tano lilitosha. Alijisemea mwenyewe " tulisoma hatukutambua, tukajifunza tukajuwa!"
 
Kama tunapenda maendeleo ya demokrasia katika nchi yetu basi ni vizuri tupongeze pale ambapo chama cha siasa kinafanya vizuri na pale wanapokosea tunawakosoe. Nilisikitika sana, ingawa sikuwa na la kufanya. Education is civilazation, vipi tuongozwe na uncivilized person. Sijui chadema walifikiria nini, mpaka wakafikia hapo. Ni bora kama hakuna mtu basi nafasi iwe wazi, kama vile Egypy ya Mubarak au wangetangaza, vijana tungejitokeza. Tungependa tuwe na chama kimoja kikuu cha upinzani, kama vile marekani. Lakini kwa kuwa na VP wa elimu dunia hatuwezi kufika. Mimi nina mfano hai, mbunge wangu ni STD 7 ingawa sikushiriki kumchagua, wananchi wameanza kujutia. Chadema wasije rudia kosa kama hilo. Hatupendi kuweka historia za kijinja" Hati VC P la saba"



To what sense is education a civilazation? Unataka kuniambia kuwa kwa vile una elimu kubwa wewe ni mstaarabu kuliko yule alie na elimu ya chini yake? Halafu hiyo elimu iko ya nyanja mbali mbali sasa ipi ni ya wastaarabu zaidi tuseme political science ?
 
Hapa kuna mambo mawili au matatu hivi yanatakiwa kufanyiwa marekebisho.

Kwanza katiba yetu, inaladhimisha mgombea wa Urais akitoka Tanganyika basi running mate (VP) lazima atoke Zanzibar and vice versa. CDM walikuwa wanalazimika kutafuta running mate kutoka ZNZ ili ku-qualify ku-contest kiti cha Urais wa JMT. Katiba mpya inaweza ku-solve hili aidha kwa kuondoa huo ulazima, kuruhusu vyama vya siasa kuungana.

Inavyoonekana ukitoa wapemba (DRS Omari, Shein etc), Waunguja wenye elimu dunia ni wachache, wengi wameenda madrassa. Ilikuwa vigumu kwa CDM kupata running aliyesoma coz WAPEMBA wote ambao ndio most educated ni CUF. (kumbuka majiwe yaliwahi kuwashinda wagombea wa CCM kule Pemba, wao waliita kura za MARUHANI)

This was a real shame for CDM kumsimamisha STD VII leaver as a running mate. Kumbuka huyo jamaa angeweza kuwa Rais wa JMT, kama Dr. Slaa angeshinda na kwa bahati mbaya akafariki wakati ameshatumikia zaidi ya nusu ya term yake, uchaguzi usingefanyika, VP angekuwa Rais kumalizia muda uliobaki.

Kama kweli CDM wana nia ya dhati ya kushika dola 2015, basi hili suala la running mate inabidi waliangalie kuanzia sasa. Wawaandae WAZANZIBARI (zaidi ya mmoja) wenye elimu at least first degree, kama hawana elimu dunia basi waanze kuwapatia, ili ikifika 2015 wasiwe tena na running mate STD VII. Danger ya kumuaandaa mtu mmoja ni kwamba anaweza kununuliwa na CCM zero hours, lakini wakiwa zaidi ya mmoja itakiwa vigumu.

Hii ni challange ambayo CDM inabidi waichukie serious. Ingawa Mzee Kawawa alikuwa STD VII lakini mazingira ya wakati huo na sasa ni tofauti ni aibu kuwa na VP STD VII in the 21st century.
elimu dunia na elimu akhera, nini tofauti? mbona slaa anayo dk ya dini na siyo elimu dunia.
 
Tatizo mgombea mweza lazima atoke Zanzibar,na kule wengi ni CCM au CUF,kama unavyo jua tena kina yakhe wengi hawana elimu dunia,wana elimu ya madrasa zaidi.....ni mpaka tutakapo pata katiba mpya yakuondoka na huu upuhuzi wa mtu kutoka Zanzibar kuja kuwa makamu wa rais hapa,ndani ya Tanganyika yenye watu takribani milioni 40......

Umekosea sana ndugu yangu, mnadanganywa na propaganda! Zanzibar kuna waliomaliza vyuo vikuu na hawana ajira bado. Ukiangalia percentage wise Zanzibar ina wasomi wengi kuliko huko kwenu. Ukweli wenyewe kwa kesi hii ni kuwa Wasomi wa Zanzibar walishajuwa kuwa Chama hiki kisingewasaidia chochote katika malengo ya siasa na hivyo kuamuwa kukikacha.
 
Unajua Elimu ya Sam Nujoma aliyewahi kuwa raisi wa Namibia na raisi wa chama cha SWAPO? how about Sheikh Amri Abeid Karume?? Hivi Kawawa alikuwa na Elimu gani jamani (vice-president and prime minister) jaribuni kuingia deep kabla ya kupost nonsenses zenu!

Mkuu Xuma naomba nikusahihishe kidogo.....
Sheikh Amri Abeid
na Sheikh Abeid Amani Karume ni watu wawili tofauti.....Nadhani hapo juu ulimaanisha Sheikh Abeid Amani Karume...Pamoja mkuu wangu.


Bala.
 
kwa mtu makini hawezi kumfananisha Zuma na yule poyoyo(mgombea mwenza) wa chadema,na asilani Dr Slaa hawezi kumfikia bwana Zuma kwenye harakati za chama,na ukiondoa Nyerere huwezi hata kumlinganisha na kiongozi mwingine katika ukanda huu wa afrika mashariki! yule mgombea mwenza wa cdm kwakweli elimu yake ni ndogo sana na hata uwezo wake wa kujieleza ni mdogo sana,sipati picha kama angetembelewa ofisini kwake na Obama,obasanjo,Angela Markel angeweza kutoa point gani?

Si haki na ni udhalishaji mkubwa unaofanya! Amekosa nini kutumia haki yake? Na huo wingi wa wasomi ulioko Tanzania umesaidia nini? Bado ni taifa masikini mbali ya kuwa na rasilimali. Kila msomi anakimbia elimu yake na kwenda kuuza maneno Bungeni . Hivyo kutukanana na kulumbana kwenye siasa hizi za Tanzania kunataka Digirii? Sifikiri kama elimu inahitajika ili ukae kenye kiriri na kuwadanganya watu maisha bora na huku umasikini ukizidi au kukaa kwenye kiriri na kuwafanya waliokata tamaa na maisha kupambana na dola! Infact sioni tofauti kati ya waliosoma na wasiosoma kwenye siasa wote ni waongo na wasio na soni katika kupata maslahi yao.
 
Kampeni na uchaguzi zi vimeisha? Sasa mwamtakia nini kwani yeye ni mtendaji wa CHADEMA? si alikuwa mgombea tu...
Well said, alitumiwa kama kampeni katika kampeni ya uchaguzi lakini kwa vile kampeni haikufanikiwa hana maana tena. Lakini nahisi bado anahitajika kwa hiyo kampeni ingawa sasa si kwa ajili ya uchaguzi.
 
Si haki na ni udhalishaji mkubwa unaofanya! Amekosa nini kutumia haki yake? Na huo wingi wa wasomi ulioko Tanzania umesaidia nini? Bado ni taifa masikini mbali ya kuwa na rasilimali. Kila msomi anakimbia elimu yake na kwenda kuuza maneno Bungeni . Hivyo kutukanana na kulumbana kwenye siasa hizi za Tanzania kunataka Digirii? Sifikiri kama elimu inahitajika ili ukae kenye kiriri na kuwadanganya watu maisha bora na huku umasikini ukizidi au kukaa kwenye kiriri na kuwafanya waliokata tamaa na maisha kupambana na dola! Infact sioni tofauti kati ya waliosoma na wasiosoma kwenye siasa wote ni waongo na wasio na soni katika kupata maslahi yao.
kweli nchi itakombolewa na watu kama ninyi mkuuu!!
 
Kimya kingi, huleta mshindo mkuu, si ajabu akija kuibuka haaaaaa, haaaaaaaa. jamaaa alikua anatoka hivi hivi bwana
 
Back
Top Bottom