Unashindana na mtu kwenda kwa Godfather wakati huohuo unadaiwa pango la nyumba kweli???????Kama unataka kufilisika nenda kwa Godfather,Moe musa amma Clarence Peters hata mara tano tu.Haya mambo wamuachie Dangote maana kama unategemea vishow vya msimu na Fiesta Utafukuzwa kwenye nyumba kwa kukoswa KODI,Time will tell....N.B Yaani hata show kwa Lowassa unakoswa,RIGHT...?! Cc
nifah