herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 1,962
- 3,189
Hanaga maajabu, mashaili ya litoto sana hata kwa ibra wa konde haoni ndani
Yupo juzi juzi katoa nyimbo na Rostam, ila kajitahidi kukomaa mpaka singeli kaimba lakini Media azimpi support anayostahili kwa ubora aliokuwa naoFeruzi Yuko wap?
Kwani nimekataa kuwa Alikiba alitamba sana la hasha, ila baada ya kutoa Dushelele alipotea sana hakuwa tena sehemu ya ushindani, hapo ndio vikaibuka vizazi vipya wakina Bele9 na Diamond, baada ya Diamond kuota mapembe ndipo Kiba akatoka mafichoni na nyimbo ya mwana, na kupewa support ya kutosha ili Diamond akomeshwe maana alikuwa ameota mapembe kwa mujibu wa washika Dau wakina Marehemu Ruge, ili liko wazi, Ata Prof J angepata nusu ya support ya Kiba asingekuwa hivi alivyo sasaEti "aliletwa kumshughulikia Diamond"..Alikiba kitambo sana anatamba Kenya,Uganda,Burundi na Congo huko.
Alikuwa ni Artist number moja kipindi hicho Diamond anauza mitumba Tandale huko..No wonder akawepo kwenye ile project ya One8 kuiwakilisha Tz.
Kwahiyo acha uzwazwa.
Na Alikiba ameletwa lini kupambana na Diamond?
Kama Kiba mwenyewe kamtumia Mondi ili apate Kiki ya nyimbo yake, tabu iko pale paleHii tabia ya kumtaja mond kila alipo kiba ndio inazidi kuonyesha ni namna gani mko kwenye tabu.
Alikiba alikuwa mkubwa miaka mingi tu kabla ya Diamond hizi accusations wewe unazitoa wapi ?Hampendi kabisa ukweli hii ndio shida, nimekwambia Ata Feruzi ni unique sanaaaa, au Ata Prof J yuko unique Sana kuanzia mashahiri mpaka sauti yake, huyu Alikiba alichowazidi wenzake ni support kubwa ya Media na huu ni mpango mkakati ambao lengo lake mwanzo ilikuwa kumshughulikia Diamond
Ningekuelewa hiyo point yako Kama ningekua nilianza kumsikia Diamond kabla ya Alikiba lkn kwa kuwa alianza Alikiba ndo akaja Diamond iyo sio point.Hampendi kabisa ukweli hii ndio shida, nimekwambia Ata Feruzi ni unique sanaaaa, au Ata Prof J yuko unique Sana kuanzia mashahiri mpaka sauti yake, huyu Alikiba alichowazidi wenzake ni support kubwa ya Media na huu ni mpango mkakati ambao lengo lake mwanzo ilikuwa kumshughulikia Diamond
Alikiba alipewa support ili amshushe Diamond .Kama Kuna ukweli kwaio na Diamond kabla hajagombana na hao jamaa alipewa support ili amshushe Nani?Alikiba alipewa support ya kutosha na media Asa clouds ili apambane na Diamond ,maana Kuna kipindi wenye mziki wao walikorofishana na Diamond, hii support hakuna msanii yeyote wa Zaman alieipata Ata nusu yake, Mtu kama Dully Sykes kaimba sana lakini support ni ndogo Asa miaka hii ambayo ushindani ulikuwa mkali Kati ya Kiba na Mondi
Chuki haijengi mkuuHanaga maajabu, mashaili ya litoto sana hata kwa ibra wa konde haoni ndani
Sio alipotea alipumzika kdg kufanya music .ivi unajua hata Diamond nwenyewe alishaomba collabo Mara kibao aimbe na Alikiba.kwenye issue ya mziki mzuri aisee uyu mwamba apewe heshima yake anajua mpk anakera but labda uniambie Mambo ya siasa za music ndo anaweza akawa kapitwa na DiamondKwani nimekataa kuwa Alikiba alitamba sana la hasha, ila baada ya kutoa Dushelele alipotea sana hakuwa tena sehemu ya ushindani, hapo ndio vikaibuka vizazi vipya wakina Bele9 na Diamond, baada ya Diamond kuota mapembe ndipo Kiba akatoka mafichoni na nyimbo ya mwana, na kupewa support ya kutosha ili Diamond akomeshwe maana alikuwa ameota mapembe kwa mujibu wa washika Dau wakina Marehemu Ruge, ili liko wazi, Ata Prof J angepata nusu ya support ya Kiba asingekuwa hivi alivyo sasa
Na haisaidii hata x1, tena unamchukia mtu usiyemjua wala hakujuiChuki haijengi mkuu
Proud of YouKuna ngoma moja ya Darasa kamshilikisha King Kiba asee kwenye corus Kiba kaua,narudia tena Kiba kwenye corus kaua mbaya mbovu.Kiba ni mkali sana.
Run dunia haijawah pata mpinzani kabisa aiseeeWife wa dunia
Seduce
Run dunia
Karimu
Dodo
We acha tuuuuuu jmaa ni shidaa
Umeiacha Nagharamia ako na Mtaalam Christian BellaWife wa dunia
Seduce
Run dunia
Karimu
Dodo
We acha tuuuuuu jmaa ni shidaa
Hakuna kupumzika hapo , alishindwa na kasi ya Vijana tena Ata Kilimanjaro music awards Mondi alikimbiza mbaya na mpinzani wake alikuwa Belle 9 , Kiba alikuwa hoi, ila baada ya kutafutiwa upinzani na Diamond akapaa, maana lazima azungumzweSio alipotea alipumzika kdg kufanya music .ivi unajua hata Diamond nwenyewe alishaomba collabo Mara kibao aimbe na Alikiba.kwenye issue ya mziki mzuri aisee uyu mwamba apewe heshima yake anajua mpk anakera but labda uniambie Mambo ya siasa za music ndo anaweza akawa kapitwa na Diamond
Kweli kabisaRun dunia haijawah pata mpinzani kabisa aiseee
Ni kama Diamond na Ukimwona
Diamond alipewa support kwasababu ya braza wake Jones yule Dj wake pamoja na yule mkongo papaaa a lie mshika mkono na alikuwa anatafuta jina ili atoke, ila Kiba alishapata jina kisha akapotea alipata uhai tena Mara ya pili ili tu apambane na Diamond lakini walishindwa na wataendelea kushindwaAlikiba alipewa support ili amshushe Diamond .Kama Kuna ukweli kwaio na Diamond kabla hajagombana na hao jamaa alipewa support ili amshushe Nani?
Wasanii sio Diamond na Kiba tu, wako na walikuwepo kibao wenye Ladha na mashahiri murua kuliko Kiba na Diamond, hivyo hapo hakuna cha ajabu Ata Prof J ni unique Sana sana kwa kila kitu mashahiri na sauti, na amehueshimisha mziki huu sanaNingekuelewa hiyo point yako Kama ningekua nilianza kumsikia Diamond kabla ya Alikiba lkn kwa kuwa alianza Alikiba ndo akaja Diamond iyo sio point.
Alafu Mimi huwa sioni sababu za msingi kwanini tusiwapenda wote.Hakuna kupumzika hapo , alishindwa na kasi ya Vijana tena Ata Kilimanjaro music awards Mondi alikimbiza mbaya na mpinzani wake alikuwa Belle 9 , Kiba alikuwa hoi, ila baada ya kutafutiwa upinzani na Diamond akapaa, maana lazima azungumzwe