issenye
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 3,781
- 5,205
May 30, 2019 by Global Editor
Mbwana Samatta amefunguka kumpiga mabao mengi ali kiba katika mechi yao ya Team Samatta na Team Kiba itakayopigwa june 02, 2019. Kampeni ya Nifuate hivi sasa ni msimu wake wa pili ikiwa na lengo wa kusaidia watoto waliopo katika maisha magumu.
Mbwana Samatta amefunguka kumpiga mabao mengi ali kiba katika mechi yao ya Team Samatta na Team Kiba itakayopigwa june 02, 2019. Kampeni ya Nifuate hivi sasa ni msimu wake wa pili ikiwa na lengo wa kusaidia watoto waliopo katika maisha magumu.