Alikiba na Samatta wafungukia mechi yao

issenye

JF-Expert Member
Feb 2, 2011
3,781
5,205
May 30, 2019 by Global Editor

Mbwana Samatta amefunguka kumpiga mabao mengi ali kiba katika mechi yao ya Team Samatta na Team Kiba itakayopigwa june 02, 2019. Kampeni ya Nifuate hivi sasa ni msimu wake wa pili ikiwa na lengo wa kusaidia watoto waliopo katika maisha magumu.
 
Back
Top Bottom