Burnaboy
JF-Expert Member
- Dec 2, 2019
- 1,070
- 1,437
Kwa kukokuimba matusi kiba nam respect.Tatizo mmezoea kusikia kuzibua mitaro, sijui katoto kachafu nakipelekea moto na upuuzi kama huo. Hizo ndo international collabo za mtoa mada.
Kwa kukokuimba matusi kiba nam respect.Tatizo mmezoea kusikia kuzibua mitaro, sijui katoto kachafu nakipelekea moto na upuuzi kama huo. Hizo ndo international collabo za mtoa mada.
Ukweli nilikuwa nakuheshimu sana mkuu,naomba radhi kwa niaba ya dada yangu huyu ulichoandika ww naona aibu mm. Au hujui unaheshimika humuWakati Kiba anaanza kuimba, wewe ulikua Sinza watoto wenzako wakikufundisha ile michezo inayokuweka mjini.