snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,708
- 23,636
Mi ni Team Diamond wa kindakindaki kabisa kabisa yani kabiiiiiiiiiisa.
Ila we dogo, Ally Kiba ni zaidi ya mwanamuziki kwa sauti.
Sisi tunamshinda vitu vingi sana ila sio sauti aiseeh.
Na hii tumejikubalia.
Kuhusu kulinganisha na wimbo wa mwingine!
When it comes to music industry, jifunze kuchagua vitu fulani kwa mwanamuziki flan.
Ndo utainjoi Muziki mzuri.
Kitaalamu inaitwa Upekee wa Msanii.
Kila msanii ana taste yake.
Sasa itafute kwa Kiba, ukiipata utaelewa kwann pamoja na maudhi yake bado ana washabiki kama Arsenali ilivyo.
Kuhusu kuwa wa Kimataifa, unamjua R. Kelly?
Unamjua Akon?
Huyu jamaa aliimba nao, DURING their PRIME TIME.
sasa PRIME TIME ya Akon na ya R. Kelly kwa pamoja, sio za kitoto.
Basi tu ndo hivyo, ila kuhusu UKIMATAIFA, tulisomekapo duniani kabla ya Davido.
Ila we dogo, Ally Kiba ni zaidi ya mwanamuziki kwa sauti.
Sisi tunamshinda vitu vingi sana ila sio sauti aiseeh.
Na hii tumejikubalia.
Kuhusu kulinganisha na wimbo wa mwingine!
When it comes to music industry, jifunze kuchagua vitu fulani kwa mwanamuziki flan.
Ndo utainjoi Muziki mzuri.
Kitaalamu inaitwa Upekee wa Msanii.
Kila msanii ana taste yake.
Sasa itafute kwa Kiba, ukiipata utaelewa kwann pamoja na maudhi yake bado ana washabiki kama Arsenali ilivyo.
Kuhusu kuwa wa Kimataifa, unamjua R. Kelly?
Unamjua Akon?
Huyu jamaa aliimba nao, DURING their PRIME TIME.
sasa PRIME TIME ya Akon na ya R. Kelly kwa pamoja, sio za kitoto.
Basi tu ndo hivyo, ila kuhusu UKIMATAIFA, tulisomekapo duniani kabla ya Davido.