Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,594
- 9,338
Washazoea nyimbo zao zinazohamasisha ungese . Nilikuwa namsikiliza Kiba kwenye moja ya interview nilipenda aliposema yeye huwa anatunga wimbo/nyimbo ambayo hata make mzazi ataweza kuisikiliza.Kwani kwaya zina shida gani? Au kwa sababu hujasikia nipake wese, kwa mpalange, sodoma, n.k
Sasa kwa kauli hiyo ukiona wewe humuelewi kiba maana yake akatafute mwanamuziki anayemuelewa atakayeimba nyimbo zao za kishenzi.