Alikiba anajiita GOAT eti

GOAT anapaswa aitwe diamond kwasababu sidhani kwenye mziki wa bongo fleva Kuna mtu au msanii anayemfikia ata kidogo kashiriki award zote kubwa afrika na akuna award kubwa ya afrika ambayo ajapata
 
Kwa kizazi hiki kipya wasanii wanaoweza kujiita GOAT ni:
1.Prof Jay.
2.Juma Nature
3.Lady Jay Dee
Wengine bado inabidi wapigane kweli.
 
ni sahihi hilo neno kutumika vice versa ila likitumika kama anavyojaribu kutushawishi, kabisa hiko ni moja kati ya kicheko kikubwa kuwahi kutoa tangu uhuru upatikane
 
Acheni fikira hasi...GOAT ni neno ambalo lina wasifu wa Greatest of all time.... hili ni neno halina hati miliki kwa mtu yeyote...hata wewe unaweza ukajiita hivyo..endapo tu kama utajiona kuwa unasifa zinazo stahiki Kuitwa/kujiita hivyo...

Ila sasa tukizungumza katika ukweli Sio fid q wala ali kiba ambaye ana,stahiki hiyo kofia ya hilo neno...Hilo ni neno kubwa sana...na linatumika kwa watu wakubwa walioweza kuleta michango mikubwa dunia nzima.
Kwa mziki wa bongo fid anayo hio haki anaelekea miongo miwili kwenye game na hana dalili ya kupotea anytime soon, kiba was great once upon time.
 
Huyu naye kumbe anapenda kujipa mashavu kama mwenzake aliyesema kajaza uwanja wa watu 70k
 
Here he is...
images.jpeg
images.jpeg
 
Acheni fikira hasi...GOAT ni neno ambalo lina wasifu wa Greatest of all time.... hili ni neno halina hati miliki kwa mtu yeyote...hata wewe unaweza ukajiita hivyo..endapo tu kama utajiona kuwa unasifa zinazo stahiki Kuitwa/kujiita hivyo...

Ila sasa tukizungumza katika ukweli Sio fid q wala ali kiba ambaye ana,stahiki hiyo kofia ya hilo neno...Hilo ni neno kubwa sana...na linatumika kwa watu wakubwa walioweza kuleta michango mikubwa dunia nzima.

GOAT - MBUZI
Gooat.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom