Alifichiki kwa asili yake alifichiki

Hii ipo Tegeta ina baa mkuu, namba yake ninayo nauza kwa 50,000. Njoo PM tufanye biashara.

Hata hiyo ya kwanza naijua, ila namba sitoi maana tunaheshimiana.
Mmmh!!!Tegeta kuna waharibifu sana tayari watakua washakoroga tope kwa muonekano huu.
Kama utaafiki tufanye biashara ya hiyo nyingine unayoing'ang'ania.,Kwanza itakua vyema sababu itakua ni kipya kinyemi.Yenyewe iko wapi hiyo?
 
mi nashangaa wazungu na vimodo skeleton miee miss bantu ndie namtakaaa atiiii....
Wao wanavutiwa na angular shapes. Inasemekana ni shauri ya uwingi wa majengo na miamba ya barafu(icebergs). Waafrika na watu wa Asia wanavutiwa zaidi na maumbo ya mviringo kwa sababu ya kuangalia milima na sand dunes.
 
Zogo hilo.



27729748113e2342696be5c450a9bd03.jpg
 
Hii midede kama una kibamia kaa mbali kabisa!
Kabisa.

Maana akilala kiubavu ubavu, halafu na wewe kiubavu ubavu, uwe kwa nyuma yake ujue haumfikii huyo.

Au Mbuzi kagoma kwenda, ujue haumfikii huyo
 
Back
Top Bottom