RedDevil
JF-Expert Member
- Apr 30, 2009
- 2,367
- 1,520
Acheni majungu, pandeni ulingoni tuanze kazi tarehe 20 hadi october 30. Tuone nani ananguvu, tunapigana vikumbo weeeee wakati tunao muda wa kuwaeleza watanzania yote, kama mnataka kufanya kampeni za majungu hazilengi mabadiliko bali ni kutaka kuwasogeza mbele ccm ili washinde kirahisi.
Mi sitaki haki kuzinguana na huyu jamaa anataka tuache mageuzi, lakini cha msingi ni utaifa mbele dini nyuma.
Mi sitaki haki kuzinguana na huyu jamaa anataka tuache mageuzi, lakini cha msingi ni utaifa mbele dini nyuma.