#COVID19 Alichosema Hayati Magufuli kuhusu UVIKO-19 yametimia, sasa tutaishi nao katika jamii

Ugonjwa gani ambao hatukuwahi kuishi nao katika jamii?
Alichosema hayati JPM sasa kimeenda kutimia maana sasa UVIKO-19 unakuwa ugonjwa tutaoishi nao katika jamii.

Hayati alisema mapema kama jamii tujiandae kuishi na hili gonjwa. Tujiandae

Sasa tunashudia hali ilivyo katika jamii yetu. Watu wanaugua, wengine wanapona na wengine Mungu anawachukua.

Jambo la msingi ni kuchukua tahadhari na kuzingatia kanuni za afya. Maana hili gonjwa lipo kwenye jamii na tunaishi nalo
 
Alichosema hayati JPM sasa kimeenda kutimia maana sasa UVIKO-19 unakuwa ugonjwa tutaoishi nao katika jamii.

Hayati alisema mapema kama jamii tujiandae kuishi na hili gonjwa. Tujiandae

Sasa tunashudia hali ilivyo katika jamii yetu. Watu wanaugua, wengine wanapona na wengine Mungu anawachukua.

Jambo la msingi ni kuchukua tahadhari na kuzingatia kanuni za afya. Maana hili gonjwa lipo kwenye jamii na tunaishi nalo

Labda kama unataka kulazimisha kuyasahau aliyoyasema mwendazake:

1. Corona haipo Tanzania.
2. Corona ni vita vya kiuchumi dhidi ya Tanzania.
3. Chanjo za Corona ni biashara za upigaji kutoka kwa mabeberu kutaka pesa zetu kwa nguvu.
4. Chanjo ni sumu za kuwauwa watanzania.
5. Barakoa, sanitizers, PPEs zote ni biashara za mabeberu nk.

Corona tutaishi nayo labda kama una maana kama anavyoishi nayo sasa hivi pale Chatto.
 
Cc: bill gate uchwara

IMG_20210820_170023_750.jpg


😂😂😂😂!
 
Alichosema hayati JPM sasa kimeenda kutimia maana sasa UVIKO-19 unakuwa ugonjwa tutaoishi nao katika jamii.

Hayati alisema mapema kama jamii tujiandae kuishi na hili gonjwa. Tujiandae

Sasa tunashudia hali ilivyo katika jamii yetu. Watu wanaugua, wengine wanapona na wengine Mungu anawachukua.

Jambo la msingi ni kuchukua tahadhari na kuzingatia kanuni za afya. Maana hili gonjwa lipo kwenye jamii na tunaishi nalo
Acha kumsingizia hayati na pia kuabudu binadamu mwenzio mpaka maiti yake, wa kuabudiwa hivyo ni Allah na mitume wake. Kinachokusumbua ni uvuvi wa kusoma na kujuelimisha, kama ungekuwa unaitumia simu yako na TV yako kuitafuta elimu, kama hukuipata shuleni & chuoni, ungeshajua zamani sana kwamba magonjwa mengi yanayosababishwa na virusi huwa ni janga lisiloisha mara moja, especially kama hicho kirusi ni kigeni kwa wanayansi. Tabia moja kuu ya kirusi inayowatesa magwiji wa virology & vaccination ni ile hali ya kubadilika badilika. Mfano sasa hivi hawa covid 19 kwenye hili wimbi la tatu imekuja variant inaitwa Delta.... Narudia acha kabisa kuabudu binadamu mwenzako mwenye ubongo kama wa kwako, itafute elimu hata ikibidi kwenda Uchina.
 
Back
Top Bottom