Manyabuluba
JF-Expert Member
- Nov 6, 2015
- 371
- 379
NabishaMimi nasema alikuwa mwizi, muuaji na mshamba, pia kila kitu chake kilikuwa na mashaka kuanzia uraia wake mpaka elimu.,bisha
NabishaMimi nasema alikuwa mwizi, muuaji na mshamba, pia kila kitu chake kilikuwa na mashaka kuanzia uraia wake mpaka elimu.,bisha
Hiyo ndio maana ya ulichokieleza.Wewe wasema, ila nimekupa elimu ya bure, take or leave it, its upon you
Akili yako ni ndogo sana ndio maana umasikini umekuganda mpaka kwenye ukoo wako wa panya.Wewe ni housegirl wa ikulu? ulikuwa unafua mashuka yao ya chumbani?
Alichosema hayati JPM sasa kimeenda kutimia maana sasa UVIKO-19 unakuwa ugonjwa tutaoishi nao katika jamii.
Hayati alisema mapema kama jamii tujiandae kuishi na hili gonjwa. Tujiandae
Sasa tunashudia hali ilivyo katika jamii yetu. Watu wanaugua, wengine wanapona na wengine Mungu anawachukua.
Jambo la msingi ni kuchukua tahadhari na kuzingatia kanuni za afya. Maana hili gonjwa lipo kwenye jamii na tunaishi nalo
Na wewe unaamini kabisa wamechanjwa watu laki 2? Au wamepika data?Tupo Million 60 na waliochanjwa hadi sasa laki 2
Mbowe ni Gaidi!?Hivi corona si ndiyo ilimtoa juu ya reli na kumpeleka kuzimu?
Tahadhari km zipi?!Ningewaambia watu ukweli ili wachukue tahadhali, mambo ya uongo uongo na sifa ndiyo yamemponza
Mkuu swali lako lina husiana vp na mada husika? Au ndiyo wale wale kama ccmMbowe ni Gaidi!?
Wewe hujui tahadhali za Corona??Tahadhari km zipi?!
Same as your father..P U S S YMimi nasema alikuwa mwizi, muuaji na mshamba, pia kila kitu chake kilikuwa na mashaka kuanzia uraia wake mpaka elimu.,bisha
Of courseHiyo ndio maana ya ulichokieleza.
Alichosema hayati JPM sasa kimeenda kutimia maana sasa UVIKO-19 unakuwa ugonjwa tutaoishi nao katika jamii.
Hayati alisema mapema kama jamii tujiandae kuishi na hili gonjwa. Tujiandae
Sasa tunashudia hali ilivyo katika jamii yetu. Watu wanaugua, wengine wanapona na wengine Mungu anawachukua.
Jambo la msingi ni kuchukua tahadhari na kuzingatia kanuni za afya. Maana hili gonjwa lipo kwenye jamii na tunaishi nalo
Ndio maana nikawataja hao wanasiasa.Of course
MAZUZU YOTE HAYAKUMUELEWA.... WAMEMPONZA MAMA YAO KAIKURUPUKIA NA MACHANJO MAMBO YANAMPALIA SASAHuna akili mpuuzi mkubwa.
Acha kumsingizia hayati na pia kuabudu binadamu mwenzio mpaka maiti yake, wa kuabudiwa hivyo ni Allah na mitume wake. Kinachokusumbua ni uvuvi wa kusoma na kujuelimisha, kama ungekuwa unaitumia simu yako na TV yako kuitafuta elimu, kama hukuipata shuleni & chuoni, ungeshajua zamani sana kwamba magonjwa mengi yanayosababishwa na virusi huwa ni janga lisiloisha mara moja, especially kama hicho kirusi ni kigeni kwa wanayansi. Tabia moja kuu ya kirusi inayowatesa magwiji wa virology & vaccination ni ile hali ya kubadilika badilika. Mfano sasa hivi hawa covid 19 kwenye hili wimbi la tatu imekuja variant inaitwa Delta.... Narudia acha kabisa kuabudu binadamu mwenzako mwenye ubongo kama wa kwako, itafute elimu hata ikibidi kwenda Uchina.Alichosema hayati JPM sasa kimeenda kutimia maana sasa UVIKO-19 unakuwa ugonjwa tutaoishi nao katika jamii.
Hayati alisema mapema kama jamii tujiandae kuishi na hili gonjwa. Tujiandae
Sasa tunashudia hali ilivyo katika jamii yetu. Watu wanaugua, wengine wanapona na wengine Mungu anawachukua.
Jambo la msingi ni kuchukua tahadhari na kuzingatia kanuni za afya. Maana hili gonjwa lipo kwenye jamii na tunaishi nalo
Nakumbuka alipinga barakoa zao akasema tutengeneze zetuKwani ni uongo mzee Pombe hakubisha uwepo wa Covid19?
Imewatoa wengi tuHivi corona si ndiyo ilimtoa juu ya reli na kumpeleka kuzimu?