Hoshea
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 5,415
- 3,761
We mwenyewe fara tu, una nn sasa ww, umbwaBora hilo shenzi halipo tena..
Na lenyewe lilifyekwa na hiyohiyo corona.
We mwenyewe fara tu, una nn sasa ww, umbwaBora hilo shenzi halipo tena..
Na lenyewe lilifyekwa na hiyohiyo corona.
Wewe ni housegirl wa ikulu? ulikuwa unafua mashuka yao ya chumbani?Sasa ukileta hoja kama hiyo na mie nitasema mbona yule mkewe aliyekuwa analala nae kitanda kimoja hatukumuona kuumwa achilia mbali kufa nae?
Kwahiyo alikuwa anakubali corona ipo Tanzania ila ipo mijini tu na sio huko vijijini?Yeye alikuwa akiamini hivyo kwani nilimsikia mara kadhaa akiwa anapiga zile ngonjera zake za vita vya kiuchumi alikuwa akidai huo ugonjwa upo mijini tu.
Mimi mwananchi tu wa kawaida sijawahi hata kuingia ikulu, vp wewe mkuu ulikuwa daktari wa Magufuli nini?Wewe ni housegirl wa ikulu?
Ikiwa chanjo zinakuleteaga shida,, basi usiende kuchanja kama una matatizo mengine.Waliochanjwa wanakufa pia. Ila taarifa hazitolewi. Bado tunaamini katika chanjo.
Watu wana majibu aise!Wewe ni housegirl wa ikulu? ulikuwa unafua mashuka yao ya chumbani?
Nahisi ndicho alichoamini,japo yeye mwenyewe ndio alikuwa anajua zaidi.Kwahiyo alikuwa anakubali corona ipo Tanzania ila ipo mijini tu na sio huko vijijini?
Sasa mambo ya chumbani kwao umeyajuaje? Kwani ugonjwa wa moyo siku hizi unaambukiza? kama vichwa vyenu vizito sana, tumieni hata common sense na rafiki zakoMimi mwananchi tu wa kawaida sijawahi hata kuingia ikulu, vp wewe mkuu ulikuwa daktari wa Magufuli nini?
Sawa.Nahisi ndicho alichoamini,japo yeye mwenyewe ndio alikuwa anajua zaidi.
Sasa kama wewe umeona wasaidizi wake wamekufa na corona hivyo na Magufuli nae atakuwa kafa kwa corona je vp mkewe? au tuseme kwamba alikuwa karibu zaidi na wasaidizi kuliko mkewe?Sasa mambo ya chumbani kwao umeyajuaje? Kwani ugonjwa wa moyo siku hizi unaambukiza? kama vichwa vyenu vizito sana, tumieni hata common sense na rafiki zako
Hata alivyosema "mtanikumbuka kwa mazuri" naona yametimia piaAlichosema hayati JPM sasa kimeenda kutimia maana sasa UVIKO-19 unakuwa ugonjwa tutaoishi nao katika jamii.
Hayati alisema mapema kama jamii tujiandae kuishi na hili gonjwa. Tujiandae
Sasa tunashudia hali ilivyo katika jamii yetu. Watu wanaugua, wengine wanapona na wengine Mungu anawachukua.
Jambo la msingi ni kuchukua tahadhali na kuzingatia kanuni za afya. Maana hili gonjwa lipo kwenye jamii na tunaishi nalo
Your level of thinking is lying to u, wake u, grow some balls, mjifunze kutumia akili kufikiria, sio mahaba wajinga nyie.
hakusema hivyo kwa sababu aliamini korona haipo bali alisema siweki lockdown hatujui ugonjwa utaisha lini,hivyo basi tujifunze kuishi nao ili maisha mengine yaendelee,virusi vinatabia ya kujigeuza akatoa mfano pia kwamba mbona magonjwa mengine yapo na tunaishi nayo hatujajifungia ndani?Alisema hivyo baada ya kukataa uwepo wa Corona, mpaka alipoona hali inazidi kuwa mbaya ndio akakubali ipo bahati mbaya ikawa too late kwake.
Wewe wasema, ila nimekupa elimu ya bure, take or leave it, its upon youKwahiyo akina Mbowe Zitto Lissu n.k wote hawana akili kwa sababu ni wanasiasa?
Nani kakwambia walikuwa wanalala wote, yaani mtu akamzalishe mdogo mtu na bado waendelee kulala pamoja!Sasa ukileta hoja kama hiyo na mie nitasema mbona yule mkewe aliyekuwa analala nae kitanda kimoja hatukumuona kuumwa achilia mbali kufa nae?
Hakuwa na busara ndiyo maana ulimfyekela mbali, nb siungi hoja ya lockdownhakusema hivyo kwa sababu aliamini korona haipo bali alisema siweki lockdown hatujui ugonjwa utaisha lini,hivyo basi tujifunze kuishi nao ili maisha mengine yaendelee,virusi vinatabia ya kujigeuza akatoa mfano pia kwamba mbona magonjwa mengine yapo na tunaishi nayo hatujajifungia ndani?
Kwani kilichomuua jiwe ni Covid-19 au ni tatizo la moyo!?Mkuu umesema hana akili, kwanin umesema hivyo?