Alichonishauri Baba kuhusu ndoa,

Shukrani Mkuu..!!
 
Saawa Mkuu Umeeleweka.!!
 
1.KUNA MAKOSA YANAYOSAMEHEKA.
2.NA MAKOSA YASIYOSAMEHEKA.

hivyo ndo Mshua wako alimaanisha!
Yasiyosameheka ni yapi,? Na ndo yatakayovunja ndoa ama??
 
Baba yako kukwambia usubiri utakuja kuelewa ana maana yake sa ww kihere here cha nini mkuu
 
Kwa hiyo unafikiria kuishi maisha ya namba gani kwa mfano?
Unataka u single mother au uwe mtawa?
 
Mweleze Mungu ungependa aje akupatie Mume wa aina gani wakati itakapofika!
Na unaomba mapema ukikumbuka unamkumsha ikiwa Kwa wakati huo wala hauko tayari pengine uko Shule mfano!
Ikifika uko tayari unaomba sasa Hata Kwa maombi ya kufunga swaumu
 
Ninachojua Mungu ana Watu wala usipime [emoji108]🏻[emoji108]🏻!
Ktk nyakati hizi ambapo michanganyo imezidi na lakini pia kuna Watu waaminifu kabisa!
Kuna wanaume watulivu kabisa ambao wanaweza kuishi na wake zao hadi uzeeni bila kuchepuka!
Mapungufu mengine ni kawaida ya kuchukuliana ambapo hata Wewe unayo yako hukalamilika!
 
Ila kanuni mojawapo ya Mungu Kwenye ndoa ni ya kupewa wa kufanana nae!
Kama unataka Mume mwema jifunze namna ya Wewe kuwa Mke mwema!
Ukitaka Mume aliyetulia basi na Wewe yakupasa kuwa binti mtulivu!
Ukitaka Mwenye moyo wa upendo, subra na huruma na Wewe yakupasa uwe hivyo!
Lakini eti ubadilishe ma boyfriend tangu sekondari hadi Chuo halafu utegemee kupata mwanaume mtulivu [emoji14][emoji14][emoji14] labda ujaliwe Neema maalum toka juu!
 
Maisha ni zaidi ya sexually attraction,ukiangalia hicho kipengere ndiyo kinawafanya wengi waingie chaka.
 
Maisha ni zaidi ya sexually attraction,ukiangalia hicho kipengere ndiyo kinawafanya wengi waingie chaka.


Ni kweli, lkn bila ya attraction hakuna Ndoa hapo, hilo halijadiliki kama kweli unataka Ndoa yako iwe na amani na furaha, hayo mengine unaweza kuyafanyia kazi, lkn kama hakuna attraction, na hii ni kwa wote wawili , sahau!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…