Alichokisema mugabe kwa obama!?

Alichokisema mugabe kwa obama!?

mimi obama tangu alipochaguliwa mara ya kwanza tu moyo wangu haukumkubali. ni aibu kwamba anasapoti uchafu kama huo, na kenya nako ameshausambaza na inaweza kuwa nchi ya kwanza africa mashariki kukubali takataka hiyo.
 
Habari zennu wakuu hii nimeisoma kwene mtandao mmoja wa kijamii ivi ni kweeli mugabe amesema haya maneno>?
""If Obama wants me to allow gays
marriage in Zimbabwe, I should
marry him first to show the good"
Hii kali...kweli Mugabe kiboko.
 
Mgabe ni zaidi ya JEMBE ,amesimama imara kuitetea jamii masikini zimbabwe kwa kusema na kutenda kama alivyoahidi wakuolewa siyo obama ,na yule kameruni ili waonje tama yke
 
hilo ndo jembe lilobaki africa hawawengine ni yes yes mzee,wanaume waowane!yes yes sir,------- yao
 
Mwanaume pekee aliyebaki Afrika ni Bob Mugabe akifuatiwa na Kaguta Museveni kwa mbali lakini wakina baba MwanaAsha na wengine wao wapo wapo tu ili mradi wanavaa suti za kuhongwa!!!
 
Mugabe katoa jibu Muafaka sana, nakumbuka alipoulizwa na Mwandishi wa BBC kuwa hajioni kuwa Mzee kuongoza nchi? alimjibu kuwa jee hilo swali ni maalum kwa kiongozi wa kiafrika au kishawahi kumuuliza Queen Elizabeth alienza kutawala Uingereza tangu 1952.

Kama kweli Obama anapenda Sodoma basi aende kwanza Zimbabwe akachezee Dudu Kongwe la miaka 90 ndio ajue madhara au faida zake.
 
Hahaaaa kama kweli kamwambia hvyo basi amempatia kweli...
 
Mugabe katoa jibu Muafaka sana, nakumbuka alipoulizwa na Mwandishi wa BBC kuwa hajioni kuwa Mzee kuongoza nchi? alimjibu kuwa jee hilo swali ni maalum kwa kiongozi wa kiafrika au kishawahi kumuuliza Queen Elizabeth alienza kutawala Uingereza tangu 1952.Kama kweli Obama anapenda Sodoma basi aende kwanza Zimbabwe akachezee Dudu Kongwe la miaka 90 ndio ajue madhara au faida zake.
Duh huyo mwandishi nadhani aliishiwa maswali na alijuta kwanini ameuliza swali kama hilo
 
Bob anataka kumpumulia obama kisogoni kwel huyu mzee chiboko, kampa ukwel aje amtest kwanza ndio aruhusu ushoga dadadeki
 
mugabe katoa jibu muafaka sana, nakumbuka alipoulizwa na mwandishi wa bbc kuwa hajioni kuwa mzee kuongoza nchi? Alimjibu kuwa jee hilo swali ni maalum kwa kiongozi wa kiafrika au kishawahi kumuuliza queen elizabeth alienza kutawala uingereza tangu 1952.

Kama kweli obama anapenda sodoma basi aende kwanza zimbabwe akachezee dudu kongwe la miaka 90 ndio ajue madhara au faida zake.

salome
 
Mzee mugabe kweli ni simba wa africans sina comments. hawa jamaa sijui wanatupeleka wapi.
 
jibu sahihi kabisa. ni ushenz ulioje kwa viongoz wa Afrika kukibali ushoga kisa eti wapewe vijisenti. shame upon u
 
Habari zennu wakuu hii nimeisoma kwene mtandao mmoja wa kijamii ivi ni kweeli mugabe amesema haya maneno>?
""If Obama wants me to allow gays
marriage in Zimbabwe, I should
marry him first to show the good"

God bless u Mugabe, the right answer!
 
What a nice answer
1393138686331.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom