ngopyolo
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 1,941
- 1,517
Mbona wetu alishasema yeye alikuwa anajaribu tuu..hakujianda kuwa raisi ..ila Kenyatta alijianda kuwa raisi
Mbona wetu alishasema yeye alikuwa anajaribu tuu..hakujianda kuwa raisi ..ila Kenyatta alijianda kuwa raisi
Roho za watu na media kipi bora,nadhani alizima kuficha ujinga wa Odinga usionekaneNi kweli alitumia busara sana kuzima tv za citizen, Ntv pamoja na radio.
Aliwakatia mpaka umeme. hakika Kenyata ni Rais wa kupigiwa mfano.
Yaani ninyi mang'ombe ni kula majani,kujamba na kuburuza mikokoteni tu,Kemyatta kapima akimpeleka odinga kortini kinanuka raia wema watakufa,akiingilia kiapo kitanuuka raia watakufa hivyo kaamua kukaa kimya ili kuokoa roho za wakenya.Siyo lisukuma lenu hilo roho mbaya tupuJe alichokifanya kenyata siyo kuvunja katiba ya kenya maana kama katiba inazungumza kujiapisha ni kinyume na katiba na kenyata ameapa kuilinda katiba iyo je kushindwa kuilinda katiba si inatosha kumuondoa madarakani
Acha tu Mungu aepushie mbali maana kwa akili hizi za bwana huyu saa hii tungekuwa na historia tofauti na hili koti la kisiwa cha amani.Hivi yale Mazoezi ya Kila Siku Barabarani kwa Majeshi yote wakidai wanafanya Mazoezi ya Viungo Kipindi cha Maandalizi ya UKUTA yaliishia wapi? Nchi ya Maajabu hii!
Alijiandaa kuwa rais kitambo, hakusukumiziwa.
wapiMungu amtangulie,
Kashindwa kulinda katiba ya nchi. Kwa mpango huu, ajiandae kwa tukio jingine! Akumulikaye mchana , usiku atakunguza!Kweli ana busara sana. Aekuwa tumeruhusu Raila kuapishwa/kujiapisha japo hakutaka jambo hilo lifanyike. Fikiria kama angesema kwmba "yeye hajaribiwi" na wakati huo huo Raila akakomaa na mipango yake. Hivi sasa hali ya kisiasa ingekekuwa imechafuka ile mbaya. Siku zote busara hulipa, lakini kutumia mabavu hakulipi. Viva Uhuru!
na kuhakikisha kuwa mashahidi hawapatikani.Ok, ila aliwahi kutinga the Hague.