Jamaa karuhusiwa kutoka hospitali
ya vichaa, akapandishwa kwenye
ambulance hadi karibu na kwake,
akaulizwa unapakumbuka kwako?
akajibu ndio nyumba yangu ileee,
wakatoka watoto wawili wamevaa
unifom akasema wanangu walee
wanaenda shule, akatoka
mwanamke akasema mke wangu
yule, ghafla akatoka mwanaume
akasema na mimi yule naenda
kazini.
ya vichaa, akapandishwa kwenye
ambulance hadi karibu na kwake,
akaulizwa unapakumbuka kwako?
akajibu ndio nyumba yangu ileee,
wakatoka watoto wawili wamevaa
unifom akasema wanangu walee
wanaenda shule, akatoka
mwanamke akasema mke wangu
yule, ghafla akatoka mwanaume
akasema na mimi yule naenda
kazini.