Alichokiandika Peter Madeleka kuhusu Tume ya Jaji Chande

Alichokiandika Peter Madeleka kuhusu Tume ya Jaji Chande

Tume ya kimataifa ialike ije kuchunguza familia yako kwa nini ipo kwenye ufukara uliotopea na si nchi yetu huru,kuKUMAji wewe
Ukk sahihi, maana unajua tume hiyo ya kimataifa itaweka ukweli hadharani, jambo ambalo si rais wala nyie machawa wake mko tayari kuusikia.
 
Zile video zilikua ni AI na watu waliouwawa waliuliwa na wale nyumbu waandamanaji uchwara wahalifu ili kuisingizia serekali ndo imeua.
Mazuzu ni mengi sana nchini
Wewe endelea kwenda Kwa kakobe ujifanye kilema ndo kazi inayoweza ya utapeli
 
Tume fake, nani ameipa kazi hiyo Hadi tuwajibike kuipelekea ushahidi?

Tume kuhusu Kuuawa kwa Mzee Kibao ilitoa majibu yepi Hadi sasa?

Batili, Haram, laanatul!
 
Walambe posho zao tu bila kelele mingi, wakamsafishe malkia dunia ilishajua kitambo michezo yao! Washapuuzwa duniani na nyumbani sadly
 
Anaandika Wakili Peter Madeleka kwenye ukurasa wake wa X:


Itakavyokuwa
Ikiwa watu wataendelea KUGOMA kupeleka USHAHIDI kwa TUME; basi TUME itakuja na RIPOTI kwamba; “HAKUNA USHAHIDI WA WATU KUULIWA 29 OKTOBA 2025”. Watu wakimwaga UGALI, Tume itamwaga MBOGA na MAJI YA KUNAWA

View attachment 3520423
Kuna wengine sijui shule walienda kufanya nini,eti mwanasheria kageuka kuwa fara.


Ni mtanzania yupi anakubaliana na hii tume!?

Akae kwa Kutumia ICC iko mbioni kutia timu
 
Anaandika Wakili Peter Madeleka kwenye ukurasa wake wa X:


Itakavyokuwa
Ikiwa watu wataendelea KUGOMA kupeleka USHAHIDI kwa TUME; basi TUME itakuja na RIPOTI kwamba; “HAKUNA USHAHIDI WA WATU KUULIWA 29 OKTOBA 2025”. Watu wakimwaga UGALI, Tume itamwaga MBOGA na MAJI YA KUNAWA

View attachment 3520423
Mkuu huyu Madeleka siku hizi tunamwita ''comical Madeleka''. Baada ya kupoteza umaarufu alikuwa amejizolea na watu wengi kudharau huwa anajifanya ku-post vitu vya mzaha mzaha ili aonekane kama yuko stable.
 
Back
Top Bottom