Alichojitabiria Zitto kimemtokea haraka

Alichojitabiria Zitto kimemtokea haraka

sio kila kitu kuandika ; mjinga mkubwa
andika kuhusu mgombea wenu

Kwani wewe unamiliki hati miliki ya zitto kabwe ata umiliki haki zote za kimjadili. mjinga pia BWEG.e wewe
 
Majimbo mangapi tena yale wananchi wamemuomba akagombee ubunge, nakumbuka Ubungo ni mojawapo
 
sio mbaya ukajiliwaza. tafuta na viroba kabisa halafu nenda katafute buzi likuliwaze usiku kucha. But know that, Zitto is there to stay.

kwi kwi marehemu wa kisiasa anakuumiza wewe mburula, ulmtegemeakwa mshiko hana kitu he is no where to be seen politically dead
 
Back
Top Bottom