AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,050
Ni kama Shekhe Yahaya alivyotabiri kuwa mtu mmoja maarufu angekufa, kumbe alikuwa ni yeye mwenyewe.
Hahahaha JF kuna raha yake
Ni kama Shekhe Yahaya alivyotabiri kuwa mtu mmoja maarufu angekufa, kumbe alikuwa ni yeye mwenyewe.
mwaka jana mwishoni zitto alifanya mahojiano na gazeti la mwananchi na alihojiwa mambo mbali mbali likiwemo la mstakabari wake kisiasa. Mwandishi pamoja na mambo mengine alitaka kujua zitto kwa nini asihame toka chadema na kuhamia vyama vingine. Zitto alisema kuhama chama siyo jambo rahisi, akasema ukihama chama utapata headlines za magazeti kwa wiki mbili mpaka mwezi mmoja alafu unakufa kisiasa.
Kiukweli alichotabiri zitto ndicho kilichomtokea, baada ya kufanya ziara ambayo haikuwa na mafanikio makubwa pamoja na kuhudhuriwa na watu wengi. Zitto alipata headlines kweli kwenye magazeti na mitandao ya kijamii, lakini baada ya mikutano hiyo zitto hasikiki tena. Mikutano yake mikubwa sijui kama ilikuwa na faida maana alishindwa kumchukua hata mwenyekiti wa mtaa awe wa chadema hata ccm.
Nashawishika kukubaliana naye kwamba alichokuwa anaogopa 'kupata headlines za wiki mbili na kufa kisiasa' alikuwa sahihi kabisa. Kujenga chama si mchezo, hata angepewa miaka mitano kujenga chama chake kigoma tu bado ni kazi ngumu sana. Zitto ni kijana ninayemwamini kwamba ana akili na uwezo mkubwa, ilikuwaje akaingia mkenge wa wapiga dili kwamba wanaazisha chama ambacho 'eti' wabunge wengi watajiunga nacho baada ya bunge kuvunjwa? Si amuulize mpendazoe alivyoingizwa mkenge na ccj 2010?
Mwaka jana mwishoni Zitto alifanya mahojiano na gazeti la mwananchi na alihojiwa mambo mbali mbali likiwemo la mstakabari wake kisiasa. Mwandishi pamoja na mambo mengine alitaka kujua Zitto kwa nini asihame toka Chadema na kuhamia vyama vingine. Zitto alisema kuhama chama siyo jambo rahisi, akasema ukihama chama utapata headlines za magazeti kwa wiki mbili mpaka mwezi mmoja alafu unakufa kisiasa.
Kiukweli alichotabiri Zitto ndicho kilichomtokea, baada ya kufanya ziara ambayo haikuwa na mafanikio makubwa pamoja na kuhudhuriwa na watu wengi. Zitto alipata headlines kweli kwenye magazeti na mitandao ya kijamii, lakini baada ya mikutano hiyo Zitto hasikiki tena. Mikutano yake mikubwa sijui kama ilikuwa na faida maana alishindwa kumchukua hata mwenyekiti wa mtaa awe wa Chadema hata CCM.
Nashawishika kukubaliana naye kwamba alichokuwa anaogopa 'kupata headlines za wiki mbili na kufa kisiasa' alikuwa sahihi kabisa. Kujenga chama si mchezo, hata angepewa miaka mitano kujenga chama chake Kigoma tu bado ni kazi ngumu sana. Zitto ni kijana ninayemwamini kwamba ana akili na uwezo mkubwa, ilikuwaje akaingia mkenge wa wapiga dili kwamba wanaazisha chama ambacho 'eti' wabunge wengi watajiunga nacho baada ya bunge kuvunjwa? Si amuulize Mpendazoe alivyoingizwa mkenge na CCJ 2010?
Zitto amefulia mkuu habari yake kwisha kabisa.Red: Ndilo jambo ambalo mnalikwepa kulikubali ila litabaki hivo koz ndio ukweli.
Kwa mtu makini anayemjua Zitto hakai akianzisha thread utumbo kama hizi bali ni kusubiria his next move pamoja na ACT katika kuirudisha nchi katika misingi.Karibu ACT-Wazalendo.
mbona hamuwatangazi kama mlivyomtangaza Afande Sele.ACT haifanyi siasa ya show tulikitaa kuwapandisha watu majukwaani siasa hizo tunawaachia wao
Nahifadhi hii ID yako mzeeZitto amefulia mkuu habari yake kwisha kabisa.
kwi kwi marehemu wa kisiasa anakuumiza wewe mburula, ulmtegemeakwa mshiko hana kitu he is no where to be seen politically deadI told you. Zitto is there to stay, mkipenda sawa msipopenda ndo hivyo hivyo. acha iwaume kwanza. .....mbafu zenu.
I told you. Zitto is there to stay, mkipenda sawa msipopenda ndo hivyo hivyo. acha iwaume kwanza. .....mbafu zenu.
Bavicha wamekupa shilingi ngapi, b,we,g,e mkubwa
sio kila kitu kuandika ; mjinga mkubwa
andika kuhusu mgombea wenu
kwa akili alizonazo simlaumu wala simsifii anajua anachokifanya na anajua mwisho wake TUKUTANE OCTOBER
wasaliti wote waliahidiwa fedha wakaona fedha ni tamu.sasa wanajuta.mil 700 hazijatoka. Chama twawala ni wajanja sana kwa mijitu milafi kama hii ya act.kitila mkumbo anaweza kuwa muhusika mkuu katika kupotoka kwake. Kule kumpamba kuwa yeye ni mashuhri sana ilikuwa njia ya kuvuta mshiko toka kwake kwani alikuwa anajua zzk lazima atapewa pesa na watawala wakati yeye hawezi pewa.
Bavicha wamekupa shilingi ngapi, b,we,g,e mkubwa
sio kila kitu kuandika ; mjinga mkubwa
andika kuhusu mgombea wenu
Nimemchokoza nani?