Alichojitabiria Zitto kimemtokea haraka

Alichojitabiria Zitto kimemtokea haraka

Nilikuwa mmoja wa aliyekuwa analilia Zitto ajiunge na Chama mmoja wapo CUF au NCCR-Mageuzi siku nyingi hata kabla hajakimbilia Mahakamani.

Lakini iko siku atakuja kutueleza akina nani walimuingiza Mjini hata kama itakuchukua 20yrs kusema ukweli-wacha tuendelee kuwa na subira.
 
kwa akili alizonazo simlaumu wala simsifii anajua anachokifanya na anajua mwisho wake TUKUTANE OCTOBER

Ninyi ndo mnampotosha kijana wa watu, October kuna nini? hivi kuna kitu kitatokea October kisiasa hakionekani leo? hizo ni ndoto za mchana.
 
nilikuwa mmoja wa aliyekuwa analilia zitto ajiunge na chama mmoja wapo cuf au nccr-mageuzi siku nyingi hata kabla hajakimbilia mahakamani.

Lakini iko siku atakuja kutueleza akina nani walimuingiza mjini hata kama itakuchukua 20yrs kusema ukweli-wacha tuendelee kuwa na subira.

misheni town wakamuingiza mjini
 
Watu wabaya sana kwake ambao baadae labda anaweza zinduka kuwajua jinsi walivyomfutia nyota yake ya kisiasa ni vijana waki Singida wanyiramba wale ni wabaya sana Kitila Mkumbo na Mwiguru kwa mawazo yangu Zitto hakuwa wakupotezwa sasa kwenye siasa na kuanza kuitwa msaliti
 
Ndio maana headlines za magazeti zinakomaa ACT inaomba kujiunga ukawa!

Hakuna chombo kitatulazimisha kuwaingiza kwenye UKAWA watu tunaoamini ni wasaliti. Hatukuanza nao acha tumalize hii biashara peke yetu.
 
mtahangaika sana na zitto lakini mjue kuwa he is always there to stay,

Mwaka jana mwishoni Zitto alifanya mahojiano na gazeti la mwananchi na alihojiwa mambo mbali mbali likiwemo la mstakabari wake kisiasa. Mwandishi pamoja na mambo mengine alitaka kujua Zitto kwa nini asihame toka Chadema na kuhamia vyama vingine. Zitto alisema kuhama chama siyo jambo rahisi, akasema ukihama chama utapata headlines za magazeti kwa wiki mbili mpaka mwezi mmoja alafu unakufa kisiasa.

Kiukweli alichotabiri Zitto ndicho kilichomtokea, baada ya kufanya ziara ambayo haikuwa na mafanikio makubwa pamoja na kuhudhuriwa na watu wengi. Zitto alipata headlines kweli kwenye magazeti na mitandao ya kijamii, lakini baada ya mikutano hiyo Zitto hasikiki tena. Mikutano yake mikubwa sijui kama ilikuwa na faida maana alishindwa kumchukua hata mwenyekiti wa mtaa awe wa Chadema hata CCM.

Nashawishika kukubaliana naye kwamba alichokuwa anaogopa 'kupata headlines za wiki mbili na kufa kisiasa' alikuwa sahihi kabisa. Kujenga chama si mchezo, hata angepewa miaka mitano kujenga chama chake Kigoma tu bado ni kazi ngumu sana. Zitto ni kijana ninayemwamini kwamba ana akili na uwezo mkubwa, ilikuwaje akaingia mkenge wa wapiga dili kwamba wanaazisha chama ambacho 'eti' wabunge wengi watajiunga nacho baada ya bunge kuvunjwa? Si amuulize Mpendazoe alivyoingizwa mkenge na CCJ 2010?
 
Mwaka jana mwishoni Zitto alifanya mahojiano na gazeti la mwananchi na alihojiwa mambo mbali mbali likiwemo la mstakabari wake kisiasa. Mwandishi pamoja na mambo mengine alitaka kujua Zitto kwa nini asihame toka Chadema na kuhamia vyama vingine. Zitto alisema kuhama chama siyo jambo rahisi, akasema ukihama chama utapata headlines za magazeti kwa wiki mbili mpaka mwezi mmoja alafu unakufa kisiasa.

Kiukweli alichotabiri Zitto ndicho kilichomtokea, baada ya kufanya ziara ambayo haikuwa na mafanikio makubwa pamoja na kuhudhuriwa na watu wengi. Zitto alipata headlines kweli kwenye magazeti na mitandao ya kijamii, lakini baada ya mikutano hiyo Zitto hasikiki tena. Mikutano yake mikubwa sijui kama ilikuwa na faida maana alishindwa kumchukua hata mwenyekiti wa mtaa awe wa Chadema hata CCM.

Nashawishika kukubaliana naye kwamba alichokuwa anaogopa 'kupata headlines za wiki mbili na kufa kisiasa' alikuwa sahihi kabisa. Kujenga chama si mchezo, hata angepewa miaka mitano kujenga chama chake Kigoma tu bado ni kazi ngumu sana. Zitto ni kijana ninayemwamini kwamba ana akili na uwezo mkubwa, ilikuwaje akaingia mkenge wa wapiga dili kwamba wanaazisha chama ambacho 'eti' wabunge wengi watajiunga nacho baada ya bunge kuvunjwa? Si amuulize Mpendazoe alivyoingizwa mkenge na CCJ 2010?
Red: Ndilo jambo ambalo mnalikwepa kulikubali ila litabaki hivo koz ndio ukweli.
Kwa mtu makini anayemjua Zitto hakai akianzisha thread utumbo kama hizi bali ni kusubiria his next move pamoja na ACT katika kuirudisha nchi katika misingi.Karibu ACT-Wazalendo.
 
bado anaweza ibuka tena, siasa ni mawimbi huwezi jua nini kitatokea akapata upenyo. mfano kipindi fulani Mnyika alielekea kumpa kick ZZK kirahisi rahisi.
 
Kajichimbia kaburi lake mwenyewe sasa aanze kujikomba kama akina cheyo na mrema ili apate jimbo.......mara nyengine akili nyingi huondoa maarifa......kutengeneza taasisi ni kazi sana sasa mpaka aje atimize azma yake ya kuwa rais atakua na umri usiopungua miaka 70
 
aliwahi kusema kuwa angekuwa wa mwisho kuondoka chadema
 
ACT haifanyi siasa ya show tulikitaa kuwapandisha watu majukwaani siasa hizo tunawaachia wao
 
Red: Ndilo jambo ambalo mnalikwepa kulikubali ila litabaki hivo koz ndio ukweli.
Kwa mtu makini anayemjua Zitto hakai akianzisha thread utumbo kama hizi bali ni kusubiria his next move pamoja na ACT katika kuirudisha nchi katika misingi.Karibu ACT-Wazalendo.
Anadaiwa na watu wake mikoani wa act fedha alizowakopa kwenye ziara zake may be ndio next move
 
kujengachama ni kazi kweli x2. Ni Mrema tu aliyefanikisha kwani watu walikuwa na kiu kubwa ya demokrasia. kwa sasa ni Chadema/ Ukawa tu. pole zake. akafundishe vyuoni.

Mkuu chuo gani ataenda kufundisha Zitto wakati ana GPA ya 3.5.
 
Yaah kustay kuzimu kwa kisiasa he is not a political living matter mapedeshee wa mjini wamemtosa
I told you. Zitto is there to stay, mkipenda sawa msipopenda ndo hivyo hivyo. acha iwaume kwanza. .....mbafu zenu.
 
Back
Top Bottom