Right footer
Member
- Jul 13, 2021
- 32
- 28
Kwenye tozo 😳😳😳True walishambomoa kwenye tozo wakambomoa kwenye ugaidi wamempiga tena kwenye UHURU.
Tulimuonya hakusikia.
Kwenye tozo 😳😳😳True walishambomoa kwenye tozo wakambomoa kwenye ugaidi wamempiga tena kwenye UHURU.
Tulimuonya hakusikia.
Muda wa lutangaza nia bado kabisa, hata kama nia anayo lakini muda wake wa kusema hivyo sio huu. Hii ni vurugu kwakuwa hata yeye mwenyewe alishawaonya wenzake wasifikirie urais 2025 sasa haiwezekani kabisa yeye afanye kilekile alichowakataza wenzie. Hata hivyo Katiba inamruhusu na utamaduni wa CCM waliojiwekea unamruhusu pia kugombea ndani ya chama bila kupingwa.J
Je, ni kweli kwamba mh rais SSH atagombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hapo mnamo 2025?
ukishaionja nyama ya mtu huachi. Kuna makabila yameshaionja nyama ya mtu.Yaani sipati picha JK Mungu kampenda (naomba achelewe kumpenda) na Mwinyi ndio kama alivyo mpaka ikifika 2025 atakuwa yupo kote kote duniani na Akhera. Atabakia SSH kama the sole most senior citizen in TZ. Kutakuwa na civil war ndani ya CCM I swear!
Kama hivyo ndivyo ilivyo kwanini gazeti la Uhurru liadhibiwe kwa kweli liliousema?Muda wa lutangaza nia bado kabisa, hata kama nia anayo lakini muda wake wa kusema hivyo sio huu. Hii ni vurugu kwakuwa hata yeye mwenyewe alishawaonya wenzake wasifikirie urais 2025 sasa haiwezekani kabisa yeye afanye kilekile alichowakataza wenzie. Hata hivyo Katiba inamruhusu na utamaduni wa CCM waliojiwekea unamruhusu pia kugombea ndani ya chama bila kupingwa.