Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 7,998
- 25,151
Karismatic fella tangu lini umeanza uchawa? Haya rudi kwenye mada zako za uchawi uchawi
Mwambie tu mleta uzi ni mpumbavu.CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu
Mleta uzi ni popomaMwambie tu mleta uzi ni mpumbavu.
Mengine yanakuhusu wewe 🐼😄🔥Maelezo
Maelezo yote hayo wewe umeona mahabusu tuu? Acha uvivu wa kusoma.
Wabunge wote ni Wafanyabiashara ujue 🐼Kutoka 13 millions hadi 18 millions kama wangelikuwa na uchungu na pesa za walipakodi wangelikataa ongezeko hilo la kifisadi.
Nazungumzia kuringa kwa kujiona anamiliki misukule ya kutosha mitandaoni, inamtetea kuliko inavyotetea wazazi wao wenyewe.Mbowe tangu akiwa Benki Kuu hanaga maringo 🐼
Mbowe anatetewa na maafisa wenzake 😂😂😂Nazungumzia kuringa kwa kujiona anamiliki misukule ya kutosha mitandaoni, inamtetea kuliko inavyotetea wazazi wao wenyewe.
Na lolote ataloongea yeye hata kama ni la uongo litapata sapoti kupitia misukule hiyo. Kwa style katika hali ya kibinaadam lazima aringe tu.
Wameachwa uchi majangiliMwamba
Mwanamme unaogopa mahabusu?!🐼
Mleta mada bure Kabisa
Kuzitamani ni umbeya wako, Jambo la msingi wamejiongezea mshahara na kuacha watoto wa maskini wakiombewa msaada wa Mchele wenye virutubisho kutoka marekani .Nani kasema hawajajiongeza mshahara? Mbowe ni kama huyo mjomba wako mbunge, anazitamani hizo 18m.
Wewe tuambie Wabunge wanapokea kiasi gani na huo uzalendo wenu.Mbowe anaringia misukule yake aliyoijaza mitandaoni. Ndiomaana anaweza kukurupuka kuongea lolote, akiamini misukule yake itapushi ajenda yake mbele iaminiwe na wagonjwa wa akili.
Nilikuwa naamini wewe ni Mbumbumbu kwenye soka tu, kumbe kwenye siasa ndo Fala kabisa?Kwanza agenda ya Mbowe na Chama chake anachokimiliki ilikuwa ni Katiba Mpya, wamepambana weeeee hoja yao imekufa kifo cha mende baada ya miswada kupitishwa bungeni na kuwa sheria.
Akawapotezea muda wanachama wenzake kwa kuona njia pekee ni maandamano, ameandamana weeeee wananchi hawamwelewi.Huko kwenye maandamano ameongea hadi amekaribia kupata shinikizo la damu lakini wapi.
Akaona achezee hela za chama wakaitana tena pale Mtwara wakatoka na azimio la maandamano katika miji mikuu ya mikoa na wilaya.Yaani mnasafiri kwenda mtwara mnaazimia kuandamana!
Sasa ameona njia pekee iliyobakia ni uzushi tu, akipanda stejini kulalamikia hali ngumu ya maisha, wabunge wamejiongezea mishahara, cjui Rais Samia kafanya hivi, yaani hana tena hoja.
Naona kuna siku atajichanganya atavunja sheria za nchi atarudi Ukonga kuendelea na maisha yale yale ya wakati ule.
Maana utaendelea kutoa taarifa za uongo hadi lini? Serikali ipi itakuangalia weeee uwe unapotosha na kuleta uchonganishi, hakyamungu Mbowe utayatimba tu.
Kumbuka mahabusu kuna joto sana, hakulaliki huko.Shauri yako.
Ww mtoto wa mama ndio unaogopa jela. Alichosema Mbowe ndio ukweli wenyewe.Kwanza agenda ya Mbowe na Chama chake anachokimiliki ilikuwa ni Katiba Mpya, wamepambana weeeee hoja yao imekufa kifo cha mende baada ya miswada kupitishwa bungeni na kuwa sheria.
Akawapotezea muda wanachama wenzake kwa kuona njia pekee ni maandamano, ameandamana weeeee wananchi hawamwelewi.Huko kwenye maandamano ameongea hadi amekaribia kupata shinikizo la damu lakini wapi.
Akaona achezee hela za chama wakaitana tena pale Mtwara wakatoka na azimio la maandamano katika miji mikuu ya mikoa na wilaya.Yaani mnasafiri kwenda mtwara mnaazimia kuandamana!
Sasa ameona njia pekee iliyobakia ni uzushi tu, akipanda stejini kulalamikia hali ngumu ya maisha, wabunge wamejiongezea mishahara, cjui Rais Samia kafanya hivi, yaani hana tena hoja.
Naona kuna siku atajichanganya atavunja sheria za nchi atarudi Ukonga kuendelea na maisha yale yale ya wakati ule.
Maana utaendelea kutoa taarifa za uongo hadi lini? Serikali ipi itakuangalia weeee uwe unapotosha na kuleta uchonganishi, hakyamungu Mbowe utayatimba tu.
Kumbuka mahabusu kuna joto sana, hakulaliki huko.Shauri yako.
Mwishowe wataiuza Nchi nzima.Wabunge wote ni Wafanyabiashara ujue 🐼
Msukule ni yule anayelipa wabunge Bilioni 84 kwa mwaka na kushindwa kuwahudumia watoto wenye utapiamlo mpaka kwenda kukinga bakuli la msaada marekani na kupewa Mchele wenye virutubisho?Nazungumzia kuringa kwa kujiona anamiliki misukule ya kutosha mitandaoni, inamtetea kuliko inavyotetea wazazi wao wenyewe.
Na lolote ataloongea yeye hata kama ni la uongo litapata sapoti kupitia misukule hiyo. Kwa style katika hali ya kibinaadam lazima aringe tu.
Una akili kidogo sana..Kwanza agenda ya Mbowe na Chama chake anachokimiliki ilikuwa ni Katiba Mpya, wamepambana weeeee hoja yao imekufa kifo cha mende baada ya miswada kupitishwa bungeni na kuwa sheria.
Akawapotezea muda wanachama wenzake kwa kuona njia pekee ni maandamano, ameandamana weeeee wananchi hawamwelewi.Huko kwenye maandamano ameongea hadi amekaribia kupata shinikizo la damu lakini wapi.
Akaona achezee hela za chama wakaitana tena pale Mtwara wakatoka na azimio la maandamano katika miji mikuu ya mikoa na wilaya.Yaani mnasafiri kwenda mtwara mnaazimia kuandamana!
Sasa ameona njia pekee iliyobakia ni uzushi tu, akipanda stejini kulalamikia hali ngumu ya maisha, wabunge wamejiongezea mishahara, cjui Rais Samia kafanya hivi, yaani hana tena hoja.
Naona kuna siku atajichanganya atavunja sheria za nchi atarudi Ukonga kuendelea na maisha yale yale ya wakati ule.
Maana utaendelea kutoa taarifa za uongo hadi lini? Serikali ipi itakuangalia weeee uwe unapotosha na kuleta uchonganishi, hakyamungu Mbowe utayatimba tu.
Kumbuka mahabusu kuna joto sana, hakulaliki huko.Shauri yako.
Asubiri tumuwekee pay slip ya mshahara wa mbunge.Mwamba
Mwanamme unaogopa mahabusu?!
Mleta mada bure Kabisa