Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,814
- 40,572
Dah nimeichelewa hii
Njoo tupigane chabo vizuriNdo kazi yang inaniweka mjini
Ww unapenda kutangulia mbele utatobolewa jichooo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Njoo tupigane chabo vizuri
Shwari ndugu yangu. Aje aje lakini?Niaje KK.
Carba yuko wapi?
We ndio mkongwe tutafundishana maujuzi.Ww unapenda kutangulia mbele utatobolewa jichooo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Umewahi waweza kuulizaDah nimeichelewa hii
Amani tele kiongozi.Shwari ndugu yangu. Aje aje lakini?
Leo yupo busy sana si unajua kusaidiana majukumu.
Mkuu naweza kupata kibali cha kuulizaUmewahi waweza kuuliza
Interview imekwisha lakini waweza uliza at any time anya day, ulizaMkuu naweza kupata kibali cha kuuliza
Ndio tunasaidiana ila leo nae zamu yake si unajua asipo kuwepo basi mimi inahitajika kuwepo huku.Amani tele kiongozi.
Msaidie bana, hujui siku hizi ni 50/50?
Kuna uzi humu MMU nilipita nikaona umeweza kuorodhesha mastaa wengi sana wa movie za aina fulani.Interview imekwisha lakini waweza uliza at any time anya day, uliza
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] inawezekana mkuu, ni sawa na mshabiki wa mpira wa miguu kuweza kukariri majina ya timu pamoja na wachezaji wa timu mbalimbali kuanzia vilabu hadi timu za taifa [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nilikuwa mshabiki wa ule mchezo ndio maana nikawa nawajua.Kuna uzi humu MMU nilipita nikaona umeweza kuorodhesha mastaa wengi sana wa movie za aina fulani.
Umewezaje kukariri majina yote yale mkuu?
Ila swali lako chokonozi sana[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]Kuna uzi humu MMU nilipita nikaona umeweza kuorodhesha mastaa wengi sana wa movie za aina fulani.
Umewezaje kukariri majina yote yale mkuu?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ila swali lako chokonozi sana[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Ungeuliza tu kawaida sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nilitaka kuuliza ile day kwanza kabisa ila nikasema nisije kuharibu hali ya hewa
Hahahaha kuna maswali mengi nyuma yake ila acha niishie hapa[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] inawezekana mkuu, ni sawa na mshabiki wa mpira wa miguu kuweza kukariri majina ya timu pamoja na wachezaji wa timu mbalimbali kuanzia vilabu hadi timu za taifa [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nilikuwa mshabiki wa ule mchezo ndio maana nikawa nawajua.
Basi niendelee kuuliza maana bado yapo kwenye huo ukanda?Ungeuliza tu kawaida sana
Endelea kuuliza, kwa maana hak7na cha kuficha hapa, we ukiuliza mi nakuweka wazi.Hahahaha kuna maswali mengi nyuma yake ila acha niishie hapa