Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,905
- 33,482
Siku zote masikini humuona tajiri kama ni mtu mwiziMaisha safi gani wakati pesa yenyewe ya kuzulumu Tassaf na Wafanyabiashara
Siku zote masikini humuona tajiri kama ni mtu mwiziMaisha safi gani wakati pesa yenyewe ya kuzulumu Tassaf na Wafanyabiashara
Vyeti vyako orijino huku vinaliwa na mchwa na umasikini umekujaa?Kupambana huku akiwa na vyet fek????hakika mataga mtabaki kuwa mataga
Kwahiyo kaenda kusoma masters ili akirudi aje kuajiriwa?? Aliyekuwa mkuu wa wilaya 4yrs akawa Mkuu wa mkoa 5yrs??😅😅😅Ndio akili za nyie masikini zilivyo
kweli lakiniElimu iliisha kitambo sasa hivi kama una tupesa unajifanya kukaa chuoni kisha unawahonga tu wahadhiri wenye njaa ambao wamejaa mavyuoni kisha unatunukiwa tu cheti.
Hicho ndicho atakacho fanya Bashite kwa sababu akili za darasani hana huyo na wa hivyo wamejaa ktk nchi hii wengine hadi ni ma-profesa kabisa.
Magufuli mwenyewe Shujaa wako alimwambia azirudishe fedha alizoiba Tassaf sasa wewe unataka kusema nini?Siku zote masikini humuona tajiri kama ni mtu mwizi
Baadae anaweza kuwa rais wako huyo!Kwahiyo kaenda kusoma masters ili akirudi aje kuajiriwa?? Aliyekuwa mkuu wa wilaya 4yrs akawa Mkuu wa mkoa 5yrs??
Kwa hiyo point yako hapa ni nini?Magufuli mwenyewe Shujaa wako alimwambia azirudishe fedha alizoiba Tassaf sasa wewe unataka kusema nini?
Kwenye orodha umewasahau wengi wakiwemo akina Chalamila, na Gelasius Byakamwa yule alikuwa Mkuu wa Mkoa wa MtwaraVijana waliofaidika na kutamba vilivyo na mfumo kandamizi wa mwendazake ni pamoja na:-
Ilikuwa huwaambii kitu hawa. Walifanya na kusema walitakalo hata kama linagharimu maisha, mali na utu wa mtanzania hawakujali. Walikuwa malaika wakuu wa utawala ule.
- Makonda,
- Sabaya,
- Heri James,
- Mrisho Gambo,
- Ali Hapi na
- Mnyeti
Mara tu baada ya mwendazake kutwaliwa na Allah, simanzi nzito na majuto yalidhihirika usoni kwa Sabaya. Alichuruzika michozi mithili ya mtoto yatima. Alikuwa anaomba radhi kwa Muumba na watanzania kiaina
Siku hazikupita nyingi, Heri James aliyekuwa na ujasiri wa kutishia kuutoa uhai wa mtanzania yeyote muda wowote mbele ya kamera wakati wa uhai wa mwendazake, aiibuka mbele ya kamera zile zile akaomba radhi mchana kweupee bila kutaja kosa lake. Watu wakabakia na maswali Heri James anaomba radhi kwa lipi? Wenye akili wakakumbuka.
Hapi. Huyu aliongea kwa kukunja ndita usoni pake ili kuonesha vitisho vyake na kuwatusi wazee wenye nyadhifa kubwa waliostaafu bila kujali umuhimu na haiba yao kwenye jamii. Hivi Sasa amejaa wahaka ijapokuwa bado ni RC.
Mrisho Gambo enzi zake alinena maneno ya makufuru dhidi ya wafuasi na mbunge wa chadema. Alitema nyongo kila uchwao kama joka la kuzimu. Alisimamia zoezi la uporaji katika maduka ya fedha za kigeni. Lakini sasa zigo la maovu aliyosimamia akiwa mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa jiji la Arusha ameanza kulitua kwa kutubu kiaina bungeni. Anadai ulikuwa ni uonevu na aliyasimamia hayo kwa kupewa maagizo. Hii yote ni toba. Anatubu.
Mnyeti enzi zake aliharibu mali za aliowaona kikwazo kwenye kuyapata madaraka makubwa zaidi. Na kweli punde tu akaukwaa u-RC wa Manyara. Hivi sasa ni mbunge asiyekuwa na raha wala furaha. Amejawa na zigo la dhambi moyoni mwake. Huyu soon ataongea kama Mrisho Gambo.
Makonda aliyekuwa na kishindo kikubwa kuliko waziri mkuu na makamu wa rais mpk leo anaogopa hata kusalimia kwenye kamera, ambazo hapo awali alimudu kuzitumia kuonya hata wazee wenye umri sawa na babu yake kwamba wawe na adabu. Hata ikibidi Makonda alitembeza sonyo (alisonya) mbele ya kamera hizo. Huyu naye siku si nyingi yuko mbioni kutoka hadharani kama Heri James kuwaomba radhi watanzania. Kama unabisha, muda utaongea.
Ndugu zangu wahenga walisema dunia duara. Inazunguka na kuuzungusha ubaya ama wema. Leo ubaya/wema unaomfanyia mwenzako kesho utakurudia.
Vyeti vyako orijino huku vinaliwa na mchwa na umasikini umekujaa?
Kuwa na akili dogo, mivyeti bila hela ni uchafu
Wasukuma wako 3 mkuu. Heri James, Makonda na Mnyeti.Kati ya hao sita wasukuma ni wangapi?😂
Wewe una ushahidi wa cheti chake kuwa fake?mie hata hicho OG cna bt cwez mshanglia mtu aliyeiba chet
🤣Ooh! Angetulia tu. Anasoma ili iwe nn?
ushuzi mtupuBaadae anaweza kuwa rais wako huyo!
Kwani kuna shida gani siku ukisikia ni balazi katika nchi flani?!
Kuna shida gani siku ukisikia ni mkuu wa shirika flani kubwa la umma?
Makonda ana akili sana mkuu hakuna bavicha anafikia akili ya Makonda
Wewe ndio umeninukuu na kutaka kukisafisha kifuu cha NaziKwa hiyo point yako hapa ni nini?
.
Wewe una ushahidi wa cheti chake kuwa fake?
Ushuhuda upi? Ule uliokuwa unatolewa na askofu wenu Gwajima ambae baadae mkaja mkamtukana baada ya kuwageuka?Labda ule ushuhuda ulipotolewa ulikuwa mtt,pole sana
Endelee kula propaganda huku wenzio wakipiga hela!Wewe ndio umeninukuu na kutaka kukisafisha kifuu cha Nazi
Kwahiyo unasapoti Upigaji siyo? ila wengine wakipiga mnasema eti kwa Sababu Shujaa wa Mazezeta hayupo.wakipiga