Music ndivyo ulivyo, wajanja hawakai kwenye music muda mrefu wanaanzisha miradi yao mingine maisha yanaendelea
Wewe unamzungumzia davido yupi ambaye,hasikiki?The Sony Syndrome, kwani wakina Davido na P square wanasikika tena?
achana na story za vijiweni,penda kufatilia mambo mwenyewe...nani If inayotamba ni ya nani??? na Fall je? Nobody ugly kaimba nani??? ukishajua jisome upya ulichoandika...usikute hata mziki hufatilii.The Sony Syndrome, kwani wakina Davido na P square wanasikika tena?
achana na story za vijiweni,penda kufatilia mambo mwenyewe...nani If inayotamba ni ya nani??? na Fall je? Nobody ugly kaimba nani??? ukishajua jisome upya ulichoandika...usikute hata mziki hufatilii.