Tony antony
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 4,988
- 3,268
wakiongoza wanasema wananunua viewers,mkiongoza nyie eti mnakimbiza jamani watz hatuishiwagi la kusema kijikasoro tuu kadogo sana tunakatafuta tunakatia chumvi asali maziwa sukari nakadhalika story inakua kubwa kama Sisimizi kaangusha kabati vile...
ila Alikiba alitoa nyimbo kabla ya mwenzake kwahiyo sioni tatizo hapo labda uniambie baada ya masaa 24 je,nani alikua na viewers wengi?
ila Alikiba alitoa nyimbo kabla ya mwenzake kwahiyo sioni tatizo hapo labda uniambie baada ya masaa 24 je,nani alikua na viewers wengi?