ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,054
- 2,864
humu ndani wame jaa first year kibao eti leo wana jiita watoto wa mjini......nakumbuka hata wewe kwenye uzi fulani mlikua mna kumbushana mlivyo kua watoto enzi zenu kule mtwara ha ha ha leo wajiita don town ha ha ha duuh.
Kuwa na adabu na wakubwa wako,utakuta mtu kama wewe umekuja mjini tume ya jiji imeshavunjwa ila ndio hivyo lakini bado ni ndugu yetu wewe hata Mwalimu Nyerere alopokelewa mjini na waakina Ally Sykes,Rupia.