man of steel
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 1,099
- 2,348
Hongera dada.Kulowana hapana,,nalowana kwaajili ya mahabuba wangu ,,tena ngoja nimuambie now ili anikanjujuu
Hongera dada.Kulowana hapana,,nalowana kwaajili ya mahabuba wangu ,,tena ngoja nimuambie now ili anikanjujuu
Nyimbo ya matonya hiyo zilipendwa.vipusa mumekua zilipendwa
Ukisema majina yamefanana nitakuelewa! By the way ile zilipendwa ni Remix..kuna zile sura mpya ndani ya ule wimbo ambao ndio watunzi halisi na ukisikiliza zilipendwa yenyewe wamewataja mpaka akina Jaydee! Niliwahi isikia Efm!Nyimbo ya matonya hiyo zilipendwa.
Nawapenda ila sio kwa copy hizo
je ushawahi sikia nyimbo ngapi zenye idea ya mtu ku salitiwa na mpnz, au mtu kumuimbia au kumsifia mpnz wke anampenda?Wanachokera wcb ni kukopi idea. Zilipendwa ilishaimbwa na matonya. Wamebadilisha beat alafu itaitwa heat song.
Nasubiri copy ya sinderela
Nenda kaisikilize nyimbo ya zilipendwa ya matonya ndo utajua namaanisha nini?je ushawahi sikia nyimbo ngapi zenye idea ya mtu ku salitiwa na mpnz, au mtu kumuimbia au kumsifia mpnz wke anampenda?
Sent using Jamii Forums mobile app
Waambie haoNenda kaisikilize nyimbo ya zilipendwa ya matonya ndo utajua namaanisha nini?
Kama mdundo wa kuchekezeka, hata mwanaume mashine inao.
Kikubwa ni ubunifu na sio kuchukua idea ya mtu alafu unanyonga beat tofauti na kutembea nayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaaa Umetisha MkuuWimbo wa king unaweza kwenda kuombea mkopo benki ila huu wa Chai jaba kiukweli akaushindanishe a ule wa Saida Karoli.
ndo maana nimekuambia nyimbo kufanana idea sio jambo la kushangaza kuliko turudi nyuma kasikilize nyimbo ya Iyaz solo na ya Jason Darulo riding solo hizi nyimbo zilitoka kwa kufatana ila hamna kati yao alio lalamika maana wanajua idea zina weza zikawa sawa ila how una express ndo tofauti na kwny hatimiliki ya mziki hamna kitu kinaitwa et hatimiliki ya idea wa wimboNenda kaisikilize nyimbo ya zilipendwa ya matonya ndo utajua namaanisha nini?
Kama mdundo wa kuchekezeka, hata mwanaume mashine inao.
Kikubwa ni ubunifu na sio kuchukua idea ya mtu alafu unanyonga beat tofauti na kutembea nayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hapo mwisho kwenye maelezo yako nimecheka sana.Kiba hua anakera sana anavyokaa kimya ila sasa akidondosha kitu mnasahau upumbavu wake wa mwaka mzima,Man Walter anajua sana kutengeneza midundo aiseeeee ukisiliza seduce me na utaniau ya Jux utanielewa kuna upekee wa hali ya juu kwenye mikono yake napenda muziki usiokua na vurumai hii seduce me inaenda kumuweka Kiba dawati la mbele zaidi kwenye kipindi cha hesabu anaonyesha anajiamini na anajua anachokifanya.
Zilipendwa naona kama KAMBI RASMI YA UPINZANI wamepanick ivi badala ya kuja na fire extingusher kwenye moto wamebeba madumu ya petrol.
Nimecheka mpaka chumba cha pili wanaulizana ntakua naotaaWimbo wa king unaweza kwenda kuombea mkopo benki ila huu wa Chai jaba kiukweli akaushindanishe a ule wa Saida Karoli.
Benki ipi?labda benki ya damu.Wimbo wa king unaweza kwenda kuombea mkopo benki ila huu wa Chai jaba kiukweli akaushindanishe a ule wa Saida Karoli.