Mwenzako mi ni turufu
si garasa
mwenye nyota ya umaarufu
si kupapasa
Tena jokeri la nguvu
Makarata oooh
Tena hodari wa nguvu si kwasakwasa
pipooooooooooz kaaaaaaama nawaona vile wakina mwafulani na kiongozi wao le kimbaz walivyo panick hahahaha
NEXT STOP
+ July 24, Moshi
+ August 1, Kenya Nairobi
+ August 8, Tanga
MTANYOOKA TU!!
Wapi walinda tembo kwa kujitolea??
Mtajuta kutufahamu hahahaha!!!!