tatizo ally kiba ana huruma sana...angekuwa hana utu huu ndo ulikuwa wa kutupa ile silaha ya maangamizi ya halaiki aliyofanya na mfalme mwenzake wa masauti christan bella...!!nimesikia demo kiduchu tu ni hatari saanaa!kama anaamua kudondosha ule mzigo hivi leo!utaratibu lazma uvurugike