Very true hafu nimeona lemutuz kampost Kiba anajua kingereza kuliko domo Instagram kwenye page flani katoa kwenye blog. Huyu huwa simwelewi huyu lekibokozi.
Very true hafu nimeona lemutuz kampost Kiba anajua kingereza kuliko domo Instagram kwenye page flani katoa kwenye blog. Huyu huwa simwelewi huyu lekibokozi.
Very true hafu nimeona lemutuz kampost Kiba anajua kingereza kuliko domo Instagram kwenye page flani katoa kwenye blog. Huyu huwa simwelewi huyu lekibokozi.
Tabia ya kupandana kichwani kisoro soro haivumiliki kabisa ka pichu kuzoea ...... Inapobidi lazma niseme sio jitu from nowhere linaniparamiaa tyuuuu.
Huyo jamaa ndo zake kuparamia hukua hata nakosa mwayego.
Teh teh teh King zaa as long as you can tena wanao wazuri balaa. Usio ka wale wanaoshikwa masikio na kua baba walezi huku mayai yote wakilia chips.
Hahaaaa haloo ya baba mlezi a.k.a mshika pembe
Hahahaaaa!!! Kwani kuna mtu anamlelea wale watoto? Kama hizo pesa alitaka ahongwe yeye si aseme tu, hivi hawa watu kumbe wivu sio kwa sisi tu kumbe hadi kwa king!!!
Wamuache azae kizazi anacho, naye kama anataka ile chata aseme tu sio unahorojoka tu.
Very true hafu nimeona lemutuz kampost Kiba anajua kingereza kuliko domo Instagram kwenye page flani katoa kwenye blog. Huyu huwa simwelewi huyu lekibokozi.