Ali Kiba Fans' Special Thread...

Avemaria kumbe ulipigwa ban, aisee sikuona hiyo kitu, watu wanachukulia jf serious sn aiseee, wataishi maisha magumu sn.

best ban ila iliisha kuna mmoja akasema kabisa hampendi nifah simtaji ila anajijua mwenyewe dah mwenzie akadakia yupo kwenye mfungo..
aiseee kazi wanayo watu!!

unachukia fake id kisa daimond na aly kiba...!!upuuzi mtupu!!au unatukana mzazi wa mtu kisa these two people i dont know siku wakipatana itakuaje..n
 
Last edited by a moderator:
hivi na lazima kwenda south africa...!!!!!.... this was the most anticipated video kibongobongo.....at the end utumbo mtupu
 
Mdakuzi shem darling hasante kwa somo hilo, ila sasa hawa vichwa hewa hiyo lugha umetumia ngumu mnooo, ungewekapo kaudaku kidogo wangekuelewa, sasa hawa wanaojua video ni maghorofa na malambojini sijui hata hawaelewi, shule yenyewe wanajisifia ila sidhani km hata walikwenda, maana mie mwenye kacheti kangu ka QT nimeielewa mnooo hii video,

Ila hawa watu vichwa vigumu nzi imesingiziwa, wanaponda hapa wakayi huko wsnacheketua.
 
Last edited by a moderator:
Sasa >> nana media tour Nigeria

3, july >> Nigeria road to mama

4, july >> Tanzania, sherehe ya miaka 80 ya Yanga, jangwani

8, july >> Singida, with Mohammed Dewji

18, july >> South Africa, MTVMAMA2015 ambapo atatumbuiza na NEYO

24, july >> Kilimanjaro Miss ambassador ambapo show inaweka rekodi kuwa na viingilio vikubwa nje ya dares salaam
30,000/=, mpaka 300,000/=

25, july >> South Africa, African achievers awards ambapo amekuwa nominated kama Most inspiring icon
 

asante Mdakuzi kwa ufafanuzi wako
 
Last edited by a moderator:

Wale watu nimegundua wana matatizo binafsi ambayo inabidi tu tuyavumilie kwakweli, thats the way they r even in their real lives, nimewahi shuhudia wakigeukana humu na kuchambana hatari, nikapigia tu mstari, hivyo yaani siku hizi nawadharau hamna mfano.
 
Lazima mjue kutofautisha kati ya

+Anaetoa video kali ya kimataifa level za mtv na bet awards kwasababu anauwezo na kipaji

+Anaetoa video kuepuka lawama za mashabiki kumbe ndio anawaongezea mzigo wa mawazo

Hata hivyo mlikuwa mnafikiria nini mlivyokuwa mnamlazimisha atoe?? ndio maana alikuwà anasita ALIKUWA ANAOGOPA HAYAHAYA HAHAHAHA
 
hivi na lazima kwenda south africa...!!!!!.... this was the most anticipated video kibongobongo.....at the end utumbo mtupu

Hahahaaaaaa!!! Km zile sijui nn hivi kwann mlikwenda south? Au mlifuata lambojini?? Mkijijibu hilo basi potea tu usiendelee kujitia aibu humu.
 
asante Mdakuzi kwa ufafanuzi wako

Asante sana ndugu yangu. Naambiwa PM ningefungulia thread hayo maelezo niliyoyatoa, muda umeniishia hapa, yeyote anaweza kufanya hivyo kwa niaba yangu. Asanteni wote kwa PM, asanteni ndugu zangu wa Team Kiba, nilitaka nikae sana hapa, ila natakiwa kujiandaa kwa safari.

Ova
 
Ngoja nikaisome online, nione namna wenye utimamu wao wanavyomuongelea King, maana watoto wa BRN hata hawajui wanaongelea nn ni mihemko tuuuu, king ni badest news wallah!

itakuwa umefanya la maana sana ukiiisoma hiyo habari KINGKIBA domo kaa mbali sio maneno yangu bwana ni ya mwanaspoti nilifurahi saana kuiona hii newz
 
mkuuu mambo hayooo

Sasa >> nana media tour Nigeria

3, july >> Nigeria road to mama

4, july >> Tanzania, sherehe ya miaka 80 ya
Yanga, jangwani

8, july >> Singida, with Mohammed Dewji

18, july >> South Africa, MTVMAMA2015 ambapo
atatumbuiza na NEYO

24, july >> Kilimanjaro Miss ambassador ambapo
show inaweka rekodi kuwa na viingilio vikubwa
nje ya dares salaam
30,000/=, mpaka 300,000/=

25, july >> South Africa, African achievers awards
ambapo amekuwa nominated kama Most
inspiring icon
 
Yaani walitegemea magari ya kifahari na location expensive ila alichofanya meji alabi ni hatari, kachukua van moja model ya zamani na ile nyingine tulikuwa tunaita mgongo chura, pia kellys alifanya kazi nzuri kwenye kuvaa #vivakiba

Yani hii video nimeipenda sana idea yake iko simple hadi matukio yako well arranged. Hasa hapo kwa hyo redio ya kizamani magari hadi uvaaji.
In short hii video imenikosha I love the idea.
 
nifah ungestick tu to ur promise.

Kwamba ungerudi hapa baada ya mfungo.

Kinyume na hapo utakuwa wajishindisha njaa tu.

SORRY.

daah braza heshimu imani ya Mtu bosi,anae jua funga ya kweli ni Mungu peke yke na si vinginevyo sio busara kuanza kutoa hukumu za kipuuzi.

ukianza kui ngiza haya mambo ya kufunga mara nini sijui utakua unawakoseA waislam wote walio funga wanao ingia jf.

tuheshimu imani za wenzetu hata km ni wa team tofauti na yko.

jf tunapita tu!
 
Last edited by a moderator:
Ingekuwa wao zingefunguliwa nyuzi hamsini, sijui wanashindanaga kufungua nyuzi wale watu, Kiba anajitambua thats why anaongelewa na watu wanaojitambua kama sisi(km namuona mwafulani na booonnge la sonyo), hahahaaaa King wakae mbali na wewe kwakweli

sisi tunajielewa kama king hatufungui uzi kimyakimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…