Ali Kiba Fans' Special Thread...

Kiba katuangusha,afanye kazi zake bila presha ya mashabiki au kwa nia ya kushindana,kama hii video haikutengenezwa bongo then kaenda nje kwa ajili ya hii video?
Kiba anatuangusha

Umeiona video ?
Au umeona ile iliyorekodiwa na tochi na mtu fulani then akaiweka YouTube ?
 
Woyoooooooooooooo
Mambo zenu jamani....
Eti kwani kuna nini mbona kila mahali chekecha cheketuaaa naisikiaa.
Kuna nini kwan?
KIba kimbiza wa kukurupuka haooooooo
 
Uwiiii yaani kiba forever and for always yaan anaukosha moyooooo wanguu yaan daah
 
Me nahisi tatizo watu walikuwa wameshajipangia maudhui ya video itakavyokuwa, na hili linatokana na video kuchelewa kutoka, tofauti na msanii anapotoa video kwanza then audio hapo huwez kujibumbia maudhui.... Alichofanya Ali kiba n kujaribu kushoot video km za wasauzi ambazo waga zinafanyiwa uswaz na vituko vinakuwa vingi, mfano zile video za UHURU..
 
Msijisumbue wanafiki jamani.
Yaani mimi nina mahaba kabisa na kiba yaani ata angeimba kwayaa yaan kwa kiba msijisumbueee.
Video imetuliaa.
Ivyoo yaan
 

Attachments

  • 1435578067702.jpg
    21.2 KB · Views: 144

Embu rudia ulichoandika alafu punguza mihemko mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…