Ali Kiba Fans' Special Thread...

Jirani zetu kwao hawapendi kukaa kutwa kuzurura huku alafu wanatokwa povu balaaaa

Si unajua mapenzi yakizidi unashindwa namna hata ya kuyaonyesha waweza jikuta unaharibu, wanampenda sn king ujue, hv unaanzaje kumchukia king?!!! Lazima uwe na matatizo
 
Jana nilisema Mimi kuna mtu sasa hivi ataanza "should I drop this one? " cjui n
"Nifumue na hii ? " khaakhaa tayar kaanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…