Th Name nakubali sana mashabiki wa kiume wa king kiba na wa respect sana hamnaga umbea umbea na unafiki kama watoto wa kike.
Nyeusi nyeusi nyeupe nyeupe.... peterchoka salute kwako pia mkuu hulei ujinga ulinikuta maeneo flan ukaniambia niache. Yaaah ndo tunataka wanaume kama kibas fans
Yaani we hujawaelewa tu?? Hawajaja vzr wala nn ni unafiki tu, angalia tu walipoanzia then hapo u'll know whts going on, kabadilisha mawazo tu alipoona alichokitegemea hakikuwa vile they thout, walikuja kwa mbwembwe wakitegemea wangetuchota wapate ya kutukana as usual, ila response ikawa veryyyyy positive ikabidi wanate na beat, ila hawana lolote!!
Dia Leo umenifurahsha mno yani umeongea ma point sana wenye akili wamekuelewa sana.
Only truth will set us free and not hatred and hypocracy. Kutofautiana kupo tu usifikie mahali watu wanajitoa ufahamu na kushindwa Ku reason vizuri.
Mihemuko mibaya hili ni jukwaa la great thinkers lazma tujitofautishe na instagram.
Hilo la bifu na mikumbo ndo lao bora kudandia vtu kwa mbele kitu mtu akimhusu unaingilia.
Yani wanaume kuzalilisha ndo sifa. Mi mwanamke mwenzangu hata ka simkukubali siwezi Ku support huo uzalilishaji na kuwa support.
#LetUseOurCommonSenseInReasoning .
#RespectEachOtherNoMatterOurDifferences .
+safi kumbe aliuponda mfumo wa tuzo za kili za mwaka huu na akasema ndio sababu yeye kutokujipigia debe kwenye pagae yake lakini hakuna mahali amesema "sihitaji tuzo" angesema ivo hata mm nisingejisumbua kumvotia.
Lakini si ndio ilotutoa ama?
Yani mpaka aseme?
Actions speaks louder than words.
Yani hizi timu ni nzuri tukizitumia vizuri kushauri wasanii wetu.
Ila kutofautiana kihoja mtu anaanza kukushambulia hadi kuita sura sijui zikoje Malaya. Hivi si vtuko yani unakuta topic nzuri watu wanaanza kuingiza personal attacks.
Huyo aliishiwa tu hoja halo team kiba tuko vizuri kila idara kuanzia upstairs, good looking and everything. In short we are blessed.
+Matendo yapi mkuu? Tukiwa tunaenda hivyo si tutakua tunaendeshwa kwa hisia pasipo uhalisia
Ueah we truly love him ndio maana saport tunayompa inawauma mnooooo watu, walijichetua sijui sie madebe tupu, aiii tukapiga kura kura zikaja km mvua, hii inawaumiza haina kifani, they only want to see the downfall of Kiba as he is a threat to them(boss wao kadhihirisha kwa kiherehere cha kumchokonoa mtu alokaa kimya) moto umewaka sasa wanatafuta mchawi!!! Aiiii km kumpenda kiba ni uchawi basi niko radhi niroge hadi nafwa.
Kiba hajawahi kusema hana haja ya tuzo so kama mkitaka kuvote fanyeni ivyo msipo penda acheni tuu maana kubali mkatae chanzo cha yote hayo bifu zote zimeanzia kwenu
Jana mamy mimi si nilishughudia yaani limwanaume linajiropokesha maneno ya hovyo hoyo alafu wadada wasivyo na haya wakiwa nyuso zao zimejaa chuki na wivu wanafanya tuu ku like hayo mautumbo yao na kujichekesha chekesha kama wauza baa. Mtu unashindwa kuelewa nani aliye timamu huko kwao. Im so proud na wanaume wa kiba fans kwa kweli hawana huo upuuzi wa namna hiyo salute kwenu wakuu.
#wanawakenamaendeleotuacheunafiki
Jana mamy mimi si nilishughudia yaani limwanaume linajiropokesha maneno ya hovyo hoyo alafu wadada wasivyo na haya wakiwa nyuso zao zimejaa chuki na wivu wanafanya tuu ku like hayo mautumbo yao na kujichekesha chekesha kama wauza baa. Mtu unashindwa kuelewa nani aliye timamu huko kwao. Im so proud na wanaume wa kiba fans kwa kweli hawana huo upuuzi wa namna hiyo salute kwenu wakuu.
#wanawakenamaendeleotuacheunafiki
Am waiting darling
Kama nyie mnavohisi tunamchukia dai
Tuliwahi kusema?
Tena mtu a vote akipenda sio akikataa uanze kumwita majina ya ajabu yote duniani. Kumpigia mtu kura ni uamuzi na utashi wake haina haja ya kumkashifu mtu.
Chezeiya unafiki wewe hauishi kamwe. Hachotwi akili mtu hapa na walitegemea mipasho na matusi watasubiri sana. Msanii wetu ni local we respect that.
Ka nawaona uso ulivo washuka walifikiri habari ya shingongo tu ta imindi sana that why I like [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=teamkiba]#teamkiba [/URL] jamani mnajielewa sana no matusi wala ni ni wala paniki.
#ForeverAsOneMuchLove :thumbup::thumbup:
#KeepItUpTeamKibaFans .
Yani mpaka aseme?
Actions speaks louder than words.
Yaani na wanafanana kama mayai, hv mpaka kutumana ili kuchafuana!!! Like serious!!! If zingifuri was right basi they hv a veryyyyyyy big problem, we angalia tu hata ktk thread hizi mbili wao ndio hawaishi kutia fujo humu na vitu visivyo na miguu wala kichwa wakati mthread wao umedoda kule, sie we r a family now hatutaki wanafiki humu, kama mtu hana cha maana cha kuongea(kinacho muhusu King) basi ajisomee tu atambae
Na wao wampe mtu wao support sasa walitaka Kiba asipewe support kisa hawamkubali. Maneno yote wameongea eti karudi kufanya mziki kumshusha domo. Mbona Nigeria kuna wasanii wengi wa kimataifa na hawasemani kuwa wanashushana.
Kwahyo wengine wasifanye mziki na kupokea tuzo kwa vile mtu wao kafanya collabo na wa Naija.