Abou Saydou
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,948
- 2,112
ni kweli, hata mimi nimeiona hiyo kwenye site ya rockstar, itabidi tuanzishe kampeni nyingine huko insta
Sanaaaaa, we muache ajisahau tuje tumhame ndio akili itamjia, ila anavyotiaga huruma yule atalia walah, sijui anajivunia nn haswa yule mtu
nenda a/c ya cabo insta utaikuta kiba kiba punguza jeuri unatuumiza sanaa cc mafans wako #Ambassador
Tumeshakinukisha huko huko instagram mpka meneja ake mmoja kanisaka
Niifute post niliyopost et nitamuharibia kiba
Eeh Mungu naomba umfungue macho Ali kiba atumie kipaji chake vyema kaba kazi na sio for fun.ameen.
Kwa kumalizia nimemkabidhi kwa Mungu aseme naye mimi sina la kusema tena.
True kuna vitu hivi (kipaji na uzuri wa sauti) havina nafasi kabisaa, (nimefurahi mwanadada ninaemkubali zaidi beyonce amekiri hilo hapa juzi)
Ni sawa na mwandiko mzuri kwenye mtihani sio ishu kabisa, but for some personal reasons inakubeba kidogo saana..
Ndio maana ukijaribu kuangalia xfactor marekani kwa mfano, kama ni mara ya kwanza utasema daaah huyu dogo baada ya miaka mi5 atakuwa beyonce au chris brown something which is not there... Hata kwetu bongo madogo wanajitahidi saana na niwakali vibaya kwenye bongo star search but wakitoka hapo hamna kitu...
Tallent add something to your work, but determination and hardworking makes you unique in your own level kwa upande wa muziki...
punguzeni hasira jamani pa1 tutafiki #tumshamri tusimtusi kingkiba %abuy4really1
Tumeshakinukisha huko huko instagram mpka meneja ake mmoja kanisaka
Niifute post niliyopost et nitamuharibia kiba
oya ww pwilo kwani wewe ni nani hasa, naona kama unamsemea, tena mwambie aje asome huku asilete usharobaro
punguzeni hasira jamani pa1 tutafiki #tumshamri tusimtusi kingkiba %abuy4really1
Kideo mpaka nifah arudi.
Bora hata nyie anawajibu.Sisi wengine anauchubua tu kimyaa
oya ww pwilo kwani wewe ni nani hasa, naona kama unamsemea, tena mwambie aje asome huku asilete usharobaro
Hapana kuna mtu anaitwa Stanley enow yupo vizuri ni rapper na wanammeneji vizuri
Nafikiri anawania best collabo pale MTV awards
Tatizo Kiba ajiongezi anataka atafuniwe
Yani yupo kama kikongwe au mtu aliyepewa taraka
Wewe
Amekua kama amepooza masikio
Tumeshakinukisha huko huko instagram mpka meneja ake mmoja kanisaka
Niifute post niliyopost et nitamuharibia kiba
pwilo kuna vitu unavijua wewe au.
punguzeni hasira jamani pa1 tutafiki #tumshamri tusimtusi kingkiba %abuy4really1