Abou Saydou
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,948
- 2,112
Aitoe tu, na gharama zote hizo? Kama ni kuongea huwezi zuia watu, inasimangwa maiti itakuwa King habari ya watanzania!!! Aitoe tu tucheketue sie, mwenye script yake akaandae nayo movie huko.
Hivi mara ngapi ni(tu)memkosoa Kiba humu? Sie ukweli wake tunampa tu, abou what are you up to??
Mfanya biashara mzuri husikiliza wateja wake wanataka nini na sio moyo au familia yake inataka nini ?
Nataka Kiba awe wa century hii na sio 7century
So?? What are you up to now?
Najiuliza Kwanini Ali kiba kwny account zake hampigii promo Diamond na Vanessa kupigiwa kura kwny tuzo za M.A.M.A kama wasanii wenzie wanavyofanya? #mtazamo tu#
Mfanya biashara mzuri husikiliza wateja wake wanataka nini na sio moyo au familia yake inataka nini ?
Nataka Kiba awe wa century hii na sio 7century
Najiuliza Kwanini Ali kiba kwny account zake hampigii promo Diamond na Vanessa kupigiwa kura kwny tuzo za M.A.M.A kama wasanii wenzie wanavyofanya? #mtazamo tu#
Anachuki yule mtt wa kkoo ye ndo kaleta mambo yote haya na dada yke Wema michirizi cwapendiiii. Haters flani amaizing
Nipo chimbo na kundi langu namuundia team
Mpaka afukuze wale managers watatu
Ambao wanathink negative daily
Ucmuingize alikiba kwenye ujinga wenu
Kwani ndomo alipost pole pale Kiba alivyoibiwa?
Sio siri Kiba anazingua sana upande wa video mpaka leo kimya, akikwambia coming soon ujue ni miezi 3 mbele, mfano hapa ilitakiwa hapa awe ametoa ngoma mpya na kichupa chake lakini ndo kwanza bado tunasubiria chekecha video.
Unapochelewa kutoa video unawapa watu nafasi ya kujenga script zao
Usshangae video ikitoka mtu akauliza "mbona maghorofa ya kko hayapo"
Hii pia hupelekea video kutokaa hewani kwa mda mrefu kwasabbu Nina script nyingi kuhusu video ya chekecha
Akitoa ambayo haifanani na script yngu hata moja
Nitaishobokea wiki ya kwanza then nitaipotezea
Sio siri Kiba anazingua sana upande wa video mpaka leo kimya, akikwambia coming soon ujue ni miezi 3 mbele, mfano hapa ilitakiwa hapa awe ametoa ngoma mpya na kichupa chake lakini ndo kwanza bado tunasubiria chekecha video.
Sasa pole ya nn hana kk security star mzima. Au kaweka mmasai tu wakuwalipa elfu30 kwa mwezi.
Unapochelewa kutoa video unawapa watu nafasi ya kujenga script zao
Usshangae video ikitoka mtu akauliza "mbona maghorofa ya kko hayapo"
Hii pia hupelekea video kutokaa hewani kwa mda mrefu kwasabbu Nina script nyingi kuhusu video ya chekecha
Akitoa ambayo haifanani na script yngu hata moja
Nitaishobokea wiki ya kwanza then nitaipotezea
Mameneja gani?? Go slowly jamani msije mkapressurize king hata akashindwa kufanya vitu vya maana, this pressure kutoka kwa mashabiki ni kubwa mnoo tusije shangaa akaboronda badala ya kufanya vitu vya maana.
Presha gani ? I wish ungejua yaliyopo chini ya kapeti
Kiufupi Kiba ameshachimbiwa SHIMO
The pressure is too much, anatakiwa arelax sana afanye vitu na maamuzi ya maana, lasivyo tutaendea kulalamika hivyohivyo. Alafu kutoa ngoma kila siku ndio isue? Angalia kwanza uhai wa nyimbo anazotoa then chilax.