cute b, @ abou saydou, geniveros, Diva Beyonce au Avemaria na mwingine yeyote msaada naomben ile caption ya ndomo anasema tuzo zimejaa darlin abaki na zile za kili...please yeyote.Nliona kwenye uzi fulan
We inakuuma nini tukimpa shukrani davido kwa kumruhusu domo kusafiria nyota yake??? Mbona huna shukrani??? Mondo alishamshukuru, acha na sie tumshukuru bana
aliyesema hivyo ni teamdaimond anajiita sio Daimond mwenyewe
Too busy
Hahaaaa machungu yamempoa sa ivi ndo karudi. Baada ya ugali atakua ana mbebea Zari pochi kabisa.
Tuzo saba nani alishawahi chukua tuzo saba bongo zaidi ya diamond mtaje huyu msanii aliechukua tuzo saba bongo
Wenzio hawajakupa taarifa??? Tatizo unakimbiaga yani we mbwiga sana
Najua Nilianza kumckia davido n kumkubali kabla ww mda sn kipindi npo chuo mwaka 2011 n wimbo wke dami duro akaja ekuro n oversees ila washikaji wng wengi walikuwa hawamjui hata watz wengi najua mlikuwa hamjui okey sikatai diamond kambeba davido west ila pia diamond ndo kafanya davido ajulikane east Africa n vilaza km ww usiojua mziki n wenzako halafu pia ile collabo diamond alimlipa ela haikuwa bure
Hahahhahahahahah yani kende bana, huu uongo kaa chumbani udanganyane na bibi bomba na njiwa wenu, davido toka atoe hit ya damiduro alibamba afrika nzima, sasa wewe unadai mondi alimpaisha davido ea hahhahhaha sasa kama alijua atampaisha kwa nini amlipe??? Hahahahahahahahhahaha ktma for real bebe lazma mdate
Too busy
Lazima uwe busy ili kuondoa stress hahahaha mwaka huu unalo bwana njiwa, sie twaenda slowly but sure, stress free zone ama nene.
Lazima uwe busy ili kuondoa stress hahahaha mwaka huu unalo bwana njiwa, sie twaenda slowly but sure, stress free zone ama nene.
Stress embu nipe maana ya stress icje nyie ndo mkawa n stress n msanii wenu
Sasa haya maneno my kende ungemuuliza huyu jamaa hapa chini, anajieleza mwenyewe:sly:😱
Huyo ndo OBO Baddest 😀😀😀
Kweli wewe kivuruge
Ok naomba iyo screenshot
Kwa hiyo huyo team diamond ni kakake queen darleen.?
Nasikia iyo account fekero ya dai.
Maana kwa account nimewashindwaa
I don't need your votes😀