Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,292
cute b, @ abou saydou, geniveros, Diva Beyonce au Avemaria na mwingine yeyote msaada naomben ile caption ya ndomo anasema tuzo zimejaa darlin abaki na zile za kili...please yeyote.Nliona kwenye uzi fulan
Hata mi niliona kwenye Uzi flani hivi kuwa hataki tuzo zimejaaa ngoja niusake huo Uzi.
cute b, @ abou saydou, geniveros, Diva Beyonce au Avemaria na mwingine yeyote msaada naomben ile caption ya ndomo anasema tuzo zimejaa darlin abaki na zile za kili...please yeyote.Nliona kwenye uzi fulan
Hata mi niliona kwenye Uzi flani hivi kuwa hataki tuzo zimejaaa ngoja niusake huo Uzi.
Ukileta evidence ya iyo ishu nitajitolea kulisha familia yenu mwaka mzima kuwa diamond kasema ivyo
Wewe mwenyewe kula kulala kodi ya nyumba shikamoo halafu umlishe nani? Hebu kajambe huko. Mfyuuuuuuuuuuu.
Wewe mwenyewe kula kulala kodi ya nyumba shikamoo halafu umlishe nani? Hebu kajambe huko. Mfyuuuuuuuuuuu.
daahh....uzi umefutwaaa...!!
hhhhaaahhhhhhaaaa...!
Cjamkataza kuvote just nimeuliza ah mie nilikuwa mbali sn uko hata network hamna mambo flan ya kusaka mshiko
Sasa una chomsakama nini eti ulikua mbali sijui network wakati ulikua unaugulia maumivu ya kukosa tuzo. Pole eeeeh.
Hivi hao njiwa ulishawamaliza nataka nikuyungishe kidogo ili usipate tabu.
😀😀😀 ivi Ali kiba hayupo ktk izo tuzo mbona unamvotia davido we
Ukileta evidence ya iyo ishu nitajitolea kulisha familia yenu mwaka mzima kuwa diamond kasema ivyo
Familia yako tu imekushinda kuilisha yangu utaiweza. Kauze njiwa umuhudumie mkeo mjamwepesi hayo mengine huwezi kuyatekeleza.
Na wewe kende bana yani sio mpiganaji kabisa yani tuzo saba zimekufanya ukimbie kabisa, saivi umejitutumua umerudi. Kweli domo kala hasara, hahahahaa karibu tena na pole kwa maumivu
Familia yako tu imekushinda kuilisha yangu utaiweza. Kauze njiwa umuhudumie mkeo mjamwepesi hayo mengine huwezi kuyatekeleza.
Alikimbia kabisa baada ya ktma akijifanya anasonga ugali south hahahahaaah!!!! Ohhh im so happy now days,.