Toa unafki wako hapa ndoooorobo wewe.Nani alokuambia anamshangaa cute b? Mbona wenzie tumeanza kuvote tokea jana?
Huna habari eeh? Bahati yako device yangu nimeifanyia hard reset ningekuwekea screen shots za jana nilizompigia Wizkid.
MAMA 2015 - ! MAMA 2015 vote for wiz & Vane &Dav.
Hamna cha domo wala nini....labla awakilishe tanzania kwa kulea mimba za watu.
I mis you too mamy.
Yaani leo nimeamka na kupiga kura tuu...alafu apa pigia michepuko yako kadri uwezavyo hamna limit kila siku tuna vote
Kama aina ya mashabiki wa Kiba ndo hii, sishangai akikopa pride kujengea nyumba aisee.. Na nadhan hata management yake ina akili za hivhiv... Ana kazi sana aisee...!
Kama aina ya mashabiki wa Kiba ndo hii, sishangai akikopa pride kujengea nyumba aisee.. Na nadhan hata management yake ina akili za hivhiv... Ana kazi sana aisee...!
Hahahahahah pole sana lakini ukae ukijua unajisumbua bure tu hate yako haitokaa ibadirishe chochote kwenye aloandikiwa na Sir God.
Kama aina ya mashabiki wa Kiba ndo hii, sishangai akikopa pride kujengea nyumba aisee.. Na nadhan hata management yake ina akili za hivhiv... Ana kazi sana aisee...!
MAMA 2015 - ! http://mama.mtv.com/voting/ vote for wiz & Vane &Dav.
Hamna cha domo wala nini....labla awakilishe tanzania kwa kulea mimba za watu.
I mis you too mamy.
Yaani leo nimeamka na kupiga kura tuu...alafu apa pigia michepuko yako kadri uwezavyo hamna limit kila siku tuna vote
Nenda kanyeee huko. Na bado. Kinakuuma sana nenda kaolewe na domo uwe bi mdogo.
Management ya kiba ndio bora kuliko zote Africa
Hahahahahah hasira zote hizo kisa nini nyie wadada mbona poa tu kwani unapungukiwa nn mwenzio akifanya poa. Acheni roho za hivyo kiba na chibu wote wetu jamani usiumie kiasi hicho waliofanya nomination wameona kitu toka kwake.
Sawa kabisa mkuu na kila mtu analiona hilo.
Awa watu siamini kama ni mashabiki wa Ali kiba awa ni haters wa Diamond waliojificha kwenye mgongo wa Kiba. Kiba hawezi kujivunia watu kama awa coz ata yeye akichana anga lazima watamchukia ata kutamani kumroga.
Poa poa, narudi na screen shots hapa sasa hivi...
Na mtaendelea kuliona ,
Then unajua nini Mr hapa duniani kila mtu ana kitu chake anachokipenda mi coni tatzo kwa hawa wadada kuvote kwa favorites wao
Kwanini upoteze mda kubishana nao ikiwa umeshawajua ni haters? Au na wewe ni hater ?
MAMA 2015 - ! http://mama.mtv.com/voting/ vote for wiz & Vane &Dav.
Hamna cha domo wala nini....labla awakilishe tanzania kwa kulea mimba za watu.
I mis you too mamy.
Yaani leo nimeamka na kupiga kura tuu...alafu apa pigia michepuko yako kadri uwezavyo hamna limit kila siku tuna vote
Hahahahahah mimi sina tatizo kabisa na hao kina dada IQ zao zinajieleza. Nawaulumia wanavyotumia nguvu kubwa sana kwenye ishu ndogo tu kama hii. Mambo ya kupita kesho kesho kutwa akuta kuwa na kiba wala chibu kwa nini mpk wakose raha.
Kwa hiyo ulitaka tutumie nguvu nyingi kumzalia domo? Tumetumia nguvu zetu ku vote wew roho inakuuma umetuwekea mabando?
hakuna mtanzania yeyote awe kiba au domo ambaye atakuja kupata tuzo ya kimataifa maana usimba na yanga ulisha ingia kwenye mziki wetu labda hao wengine
Nasikia raahaaa nikitazama watu wa Mirembe