Sisi tunatumia Tecno mjomba nyie wenye mainternationale respected devices muwe mnatuhabarisha tu sio mbaya.
Si unajua sie bado tupo local level....aaaah mjombaaa!!!
Msanii ambaye ana miaka zaidi ya 15+ kwenye game mashabiki wake leo wanasherehekea msanii wao video yake kuchezwa kwenye chanels za nje( japo imekaa kama photoshop) wakati DIAMOND aliye kwenye GAME MIAKA 5 TU LAKINI VIDEO ZAKE KUCHEZWA NJE NI JAMBO LA KAWAIDA SANA
Hivi kwanini team kiba wengi wao,wanakuwaga na hasira na matusi sana kama mashabiki wa simba na manchester united?[/QUOT
stress zinawasumbua sana hii team
Hayo ni mafanikio ni ya kujivunia kama nchi. Tunatakiwa kuwa na mastaa zaidi ya watano ili tuliteke soko la Muziki na siyo kubaniana na kurudishana nyuma.
Msanii ambaye ana miaka zaidi ya 15+ kwenye game mashabiki wake leo wanasherehekea msanii wao video yake kuchezwa kwenye chanels za nje( japo imekaa kama photoshop) wakati DIAMOND aliye kwenye GAME MIAKA 5 TU LAKINI VIDEO ZAKE KUCHEZWA NJE NI JAMBO LA KAWAIDA SANA
Tupo hapa maryland-MD us tunaenda kumsupport Alikiba the king..kwa kweli mm sio mtu wa show sana lakini naenda tu ili kumsupport Ali-wanamziki wetu wanajituma lakini jasho lao linaenda bure tu.Inasikitisha mno..Lakini pamoja na hatua nyingine wabongo tujenge utamaduni wa kuwasupport wanamziki wetu.Haya wabeba box wa MD tukutane kwa Ali na huko home ntawaletea kilichojiri pamoja na picha kali kali.
Alikiba ni msanii mkali sana Africa, pale dai lazima jasho limtoke hadi kumfikia King, unajua bila fitina za dai basi Leo hii tungekuwa tunaongea mengine kabisa