Ndio hivyo mambo ya Kiba hua hapendi kuanika mambo yake.
Ipo siku watu watashinda ndani week na JF watakua wanaingia kama guests kutokana na mabalaa atakayoyafanya King.
Tatizo sijui hana washauri watu wamezichoka na kuziona video zile zile. Akitoa wimbo awe anasubiria kwanza upate air time ya kutosha kutoa mfululizo naona anapotea.
Ushamba mzigoo wa miiba, wanajulia wapi? Washazoea kuona watu wanafuatana na kukimbizana barabarani basi kwao huo ndio ubunifu na ndio video bora, hata aina za video hawazijui kazi kubwabwaja tuuuu!! Sikio la kufa hawa!